KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI
Daraja
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Baba amtupa mwanawe ndani ya maji
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Mtoto apotea katika mazingira ya kutatanisha
MTOTO Baraka John (13) mwanafunzi wa shule ya msingi Hunyari katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amepotea katika mazingira ya kutatanisha, wakati akiwa nyumbani kwao. Mzazi wa mtoto huyo ambaye...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s72-c/tex.jpg)
DEREVA TEXI ATOWEKA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s1600/tex.jpg)
DEREVA wa Texi wa Maili Moja Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodishwa na watu wasiofahamika.
Ponera alikodishwa na watu wawili ambao hawakufahamika Agosti 5 mwaka huu majira ya saa 2:30 usiku akiwa anaendesha gari lenye usajili na T 905 BHT aina ya Corolla nyeupe.
Akizungumza na mjini Kibaha kuhusina na tukio hilo katibu wa Umoja wa madereva Texi Kibaha Mjini (KITAGURO) Fadhil...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsF--P4QvugJJOkbQXiD1Y0gA3zB6wrrMxpGJ3XcIlfpwkxBe8K1aA4C8KQHLQ-I9yNwvm4nWLSVGgUDN-GwZs5v/mafuriko1.jpg?width=650)
BABA ACHOMA MOTO MWANAE
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Baba Mbeya aua mwanae kwa ngumi
MKAZI wa Kijiji cha Isisi, wilayani Mbarali, Patrick Njolo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwanae kwa kumpiga ngumi. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema jana kuwa...
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baba mzazi wa Nyalandu afagilia mwanae kutaka Urais
Baba yake Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,(Lazaro Samwel Nyalandu), mzee Samwel Nyalandu akizungumzia uamuzi wa mtotowake Lazaro kuwania urasi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Amedai amepokea uamuzi huo kwa mikono miwili akiamini kuwa Lazaro atamudu nafasi hiyo nyeti ya urais.
Na Nathaniel Limu, Singida
BABA mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini, Samwel Nyalandu (70), alisema amepokea kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s72-c/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!
![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s640/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6yjNok5D68Q/VNuTHVTWnpI/AAAAAAAAGRE/GRxV3DsVQsE/s1600/Diamond%2BPlatnumz.jpg)
10 years ago
Bongo522 Jan
Baba wa marehemu Geez Mabovu amtembelea Lamar kusikiliza kazi alizoacha mwanae
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita