Mtoto apotea katika mazingira ya kutatanisha
MTOTO Baraka John (13) mwanafunzi wa shule ya msingi Hunyari katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amepotea katika mazingira ya kutatanisha, wakati akiwa nyumbani kwao. Mzazi wa mtoto huyo ambaye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mtoto apotea mazingira ya utata
KELVIN Kaijage (pichani), mkazi wa Tabata Magengeni anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoroka nyumbani kwao tangu Desemba 19, mwaka huu. Mama wa mtoto huyo, Anna Kaijage alisema mwanaye mwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s72-c/tex.jpg)
DEREVA TEXI ATOWEKA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s1600/tex.jpg)
DEREVA wa Texi wa Maili Moja Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodishwa na watu wasiofahamika.
Ponera alikodishwa na watu wawili ambao hawakufahamika Agosti 5 mwaka huu majira ya saa 2:30 usiku akiwa anaendesha gari lenye usajili na T 905 BHT aina ya Corolla nyeupe.
Akizungumza na mjini Kibaha kuhusina na tukio hilo katibu wa Umoja wa madereva Texi Kibaha Mjini (KITAGURO) Fadhil...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UTeIwdrjhlw/VcjA2ZoqOcI/AAAAAAAHvvQ/uc6NcAz6s88/s72-c/Paul%2BSozigwa.jpg)
NEWS ALERT: Mzee Paul Sozigwa apotea katika mazingira ya kitatanishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-UTeIwdrjhlw/VcjA2ZoqOcI/AAAAAAAHvvQ/uc6NcAz6s88/s320/Paul%2BSozigwa.jpg)
9 years ago
StarTV21 Aug
M/kiti BAWACHA Geita apotea kwenye mazingira ya utata
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Mkoa wa Geita Husna Said anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana Agosti 16 alipokuwa anatoka wilayani Nyangh’wale katika shughuli zake za kichama.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita Alphonce Mawazo, Husna alipotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka Nyangwale na kupanda bodaboda kuelekea Kakola kutafuta usafiri wa kwenda Geita lakini baada ya kufika Kakola na kupanda basi haijulikani...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
HUSNA MALIMA: Mtoto aliyepotea katika mazingira tata
“HUWA machozi yananitoka ,nashindwa kula wala sipati usingizi, mtoto wangu kipenzi Husna Malima ametoweka katika mazingira ya kutatanisha wakati akicheza na wenzake.” Hayo ni maneno ya baba mzazi wa Husna(2); ...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s72-c/20150924075835.jpg)
Msaada: Mtoto apotea na house-girl
![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s640/20150924075835.jpg)
Wawili hao hawajaonekana tangu juzi Jumanne. Taarifa zimefikishwa katika kituo cha polisi na RPC wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni amekiri kupata taarifa za tukio hilo.
Ikiwa una taarifa zozote zitakazosaidia...
11 years ago
Mwananchi23 May
Kaka wa mtoto aliyefungiwa kwenye boksi naye ‘apotea’
10 years ago
Vijimambo09 Jan
KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/12/141112112238_tower_bridge_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s72-c/1-16.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UFARANSA KATIKA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s640/1-16.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-14.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-12.jpg)