Msaada: Mtoto apotea na house-girl
![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s72-c/20150924075835.jpg)
Picha ya hivi karibuni ya mtoto Loveness C. JulluFamilia ya Jullu ya Wazo Hill kwa Msabaha jijini Dar es Salaam inaomba msaada kutoka kwa raia wema ili kufanikisha kumpata mtoto wao Loveness Coletha Jullu aliyepotea nyumbani na msichana aliyekuwa akimlea na kusaidia shughuli za nyumbani.
Wawili hao hawajaonekana tangu juzi Jumanne. Taarifa zimefikishwa katika kituo cha polisi na RPC wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni amekiri kupata taarifa za tukio hilo.
Ikiwa una taarifa zozote zitakazosaidia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Mtoto, ‘house girl’ wa diwani wachinjwa
MTOTO wa Diwani wa Mkangano, Estoni Kimwelu (CCM), na mfanyakazi wa ndani, Sista Nyilenda (17), wameuawa na watu wasiojulikana. Tukio hilo la kinyama lililotokea juzi saa nane mchana, eneo la...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s72-c/20150925063642.jpg)
MTOTO ALIYEPOTEA NA HOUSE-GIRL APATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s640/20150925063642.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-epMam56GaSk/VgVReKNI8OI/AAAAAAAAt80/jTpBCrZvPHk/s640/20150925063641.jpg)
10 years ago
CloudsFM26 Nov
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mtoto apotea mazingira ya utata
KELVIN Kaijage (pichani), mkazi wa Tabata Magengeni anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoroka nyumbani kwao tangu Desemba 19, mwaka huu. Mama wa mtoto huyo, Anna Kaijage alisema mwanaye mwenye...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Mtoto apotea katika mazingira ya kutatanisha
MTOTO Baraka John (13) mwanafunzi wa shule ya msingi Hunyari katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amepotea katika mazingira ya kutatanisha, wakati akiwa nyumbani kwao. Mzazi wa mtoto huyo ambaye...
11 years ago
Mwananchi23 May
Kaka wa mtoto aliyefungiwa kwenye boksi naye ‘apotea’
10 years ago
Daily News28 Aug
Girl killed, three injured after wall collapses on house
Daily News
A YOUNG girl was killed while three other people sustained injuries after a concrete wall collapsed on a house in Kinondoni municipality, Dar es Salaam, Tuesday. In the incident, a girl identified as Catherine Silvester (11), was killed after the wall fell down on ...
10 years ago
CloudsFM26 Sep
WAZAZI IRINGA WAPIGWA MARUFUKU KUWARUHUSU WATOTO WAO KWENDA KUFANYA KAZI ZA ''HOUSE GIRL''
MBUNGE wa jimbo la Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa amepiga marufuku wazazi wa wanafunzi waliofanya mtihani wa taifa wa darasa la saba 2014 kuwaruhusu watoto wao kwenda mijini kufanya kazi za ndani (uyaya) kwa madai kuwa kazi hiyo ni aibu kubwa kwa wakazi wa mkoa wa Iringa.
Akizungumza katika mafahali ya darasa la saba katika shule ya msingi Kalenga na Kiponzelo jana mbunge Mgimwa alisema kuwa mkoa wa Iringa umekuwa ukisifika kwa kutoa wafanyakazi wa ndani jambo ambalo ni aibu na...
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Mtoto aliyekosha ulimwengu apewa msaada