Mtoto apotea mazingira ya utata
KELVIN Kaijage (pichani), mkazi wa Tabata Magengeni anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoroka nyumbani kwao tangu Desemba 19, mwaka huu. Mama wa mtoto huyo, Anna Kaijage alisema mwanaye mwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Aug
M/kiti BAWACHA Geita apotea kwenye mazingira ya utata
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Mkoa wa Geita Husna Said anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana Agosti 16 alipokuwa anatoka wilayani Nyangh’wale katika shughuli zake za kichama.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita Alphonce Mawazo, Husna alipotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka Nyangwale na kupanda bodaboda kuelekea Kakola kutafuta usafiri wa kwenda Geita lakini baada ya kufika Kakola na kupanda basi haijulikani...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Mtoto apotea katika mazingira ya kutatanisha
MTOTO Baraka John (13) mwanafunzi wa shule ya msingi Hunyari katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amepotea katika mazingira ya kutatanisha, wakati akiwa nyumbani kwao. Mzazi wa mtoto huyo ambaye...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UTeIwdrjhlw/VcjA2ZoqOcI/AAAAAAAHvvQ/uc6NcAz6s88/s72-c/Paul%2BSozigwa.jpg)
NEWS ALERT: Mzee Paul Sozigwa apotea katika mazingira ya kitatanishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-UTeIwdrjhlw/VcjA2ZoqOcI/AAAAAAAHvvQ/uc6NcAz6s88/s320/Paul%2BSozigwa.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s72-c/20150924075835.jpg)
Msaada: Mtoto apotea na house-girl
![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s640/20150924075835.jpg)
Wawili hao hawajaonekana tangu juzi Jumanne. Taarifa zimefikishwa katika kituo cha polisi na RPC wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni amekiri kupata taarifa za tukio hilo.
Ikiwa una taarifa zozote zitakazosaidia...
11 years ago
Mwananchi23 May
Kaka wa mtoto aliyefungiwa kwenye boksi naye ‘apotea’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mzeMxU3DqnEKQTmn2HIn*MhMezyTW*o1HlzUo4J5O2FET-QqnuLkiD3FsGGU4*K14i*OvCdnSbFIKqprmvRWWud/frontJUMAMOSI.gif?width=650)
UTATA MPYA MTOTO WA DIAMOND
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Mtoto aliyezamia ndege Zanzibar utata mtupu
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Mtoto aliyezamia katika ndege azidi kuzua utata
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG9Tc3R5oTKjxIvG6VQMJC3*F2TwRCua5w4KKomh-PLxEgd5ieTIDCKfPaW*yBN0Dc5H6nmWca8PzJwL--M0eowS/Ney.jpg?width=650)
UTATA MTOTO WA NAY NA SIWEMA, MAJIBU YA DNA YAMALIZA UBISHI