NEWS ALERT: Mzee Paul Sozigwa apotea katika mazingira ya kitatanishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-UTeIwdrjhlw/VcjA2ZoqOcI/AAAAAAAHvvQ/uc6NcAz6s88/s72-c/Paul%2BSozigwa.jpg)
Mzee Paul Sozigwa (pichani), aliyewahi kuwa Mwandishi wa Habari wa Rais katika serikali ya Awamu ya kwanza chini ya Mwalimu Nyerere, amepotea tangu jana mchana katika mazingira ya kitatanishi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-UTeIwdrjhlw/VcjA2ZoqOcI/AAAAAAAHvvQ/uc6NcAz6s88/s320/Paul%2BSozigwa.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Mtoto apotea katika mazingira ya kutatanisha
MTOTO Baraka John (13) mwanafunzi wa shule ya msingi Hunyari katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amepotea katika mazingira ya kutatanisha, wakati akiwa nyumbani kwao. Mzazi wa mtoto huyo ambaye...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LSoyPgWn7v4/VaLpKjHcW2I/AAAAAAAHpO4/-e55uvFz3tc/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
news alert: Mchekeshaji wa Kenya Mzee Ojwanga afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-LSoyPgWn7v4/VaLpKjHcW2I/AAAAAAAHpO4/-e55uvFz3tc/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Mwigizaji wa filamu za vichekesho wa Kenya Benson Wanjau maarufu kama Mzee Ojwang (pichani) amefariki dunia Jumapili jioni katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta National alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Taarifa kutoka NAirobi zinasema alikuwa anaumwa "Nimonia" (Pneumonia). Marehemu Mzee Ojwang alijipatia umaarufu mkubwa Afrika Mashariki kwa vituko vyake kwenye filamu za Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na Kinyonga. Alikuwa haonekani kwa muda mrefu kwenye televisheni za Kenya na mashabiki...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s72-c/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
NEWS ALERT: Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Dr.Keneth Kaunda alazwa Hospitali Mjini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s1600/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Feb
NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA
*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mtoto apotea mazingira ya utata
KELVIN Kaijage (pichani), mkazi wa Tabata Magengeni anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoroka nyumbani kwao tangu Desemba 19, mwaka huu. Mama wa mtoto huyo, Anna Kaijage alisema mwanaye mwenye...
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney
9 years ago
StarTV21 Aug
M/kiti BAWACHA Geita apotea kwenye mazingira ya utata
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Mkoa wa Geita Husna Said anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana Agosti 16 alipokuwa anatoka wilayani Nyangh’wale katika shughuli zake za kichama.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita Alphonce Mawazo, Husna alipotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka Nyangwale na kupanda bodaboda kuelekea Kakola kutafuta usafiri wa kwenda Geita lakini baada ya kufika Kakola na kupanda basi haijulikani...
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: Moto wazuka tena katika Msikiti wa Mtambani leo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3UdRE5MqLak/VEIcp5ZQF1I/AAAAAAAGrak/-43dDFaZ3VQ/s72-c/unnamed.jpg)
NEWS ALERT: Mahakama yamzuia Davido kuperform katika tamasha la Fiesta
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UdRE5MqLak/VEIcp5ZQF1I/AAAAAAAGrak/-43dDFaZ3VQ/s1600/unnamed.jpg)
Amri hiyo imetolewa jana (October 17) na hakimu mkazi wa mahakama ya kisutu , mheshimiwa D. Kisoka kufuatia maombi ya dharura yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Times Fm Radio na Times Fm Promotion.Times Fm Radio na Times Fm Promotion walipeleka maombi ya dharura mahakamani...