NEWS ALERT: Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Dr.Keneth Kaunda alazwa Hospitali Mjini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s72-c/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
Aleyekuwa Rais wa mwanzo wa Zambia mkongwe wa siasa Dr.Kenneth Kaunda amelazwa katika Hosptali ya Lusaka Trust Hospital kuanzia Ijumaa wiki ya jana, Mzee Kaunda haijulikani ugonjwa gani uliokuwa unamsumbua lakini kwa sasa hali yake inaendelea vema mapema pia Rais wa sasa wa nchi Bw.Michael Sata na mkewe Bi.Dr.Christine Kaseba walenda kumjulia hali Mzee Kenneth Kaunda aka KK(pichani kama kawaida na kitambaa cheupe)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
JK amtembelea Rais Mstaafu Kaunda wa Zambia jijini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IZ7KfYXOvkY/VO8moot-bgI/AAAAAAAHGDg/9KIJ4IK6HYA/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-DEfSteOAc/VO8mmdQOpxI/AAAAAAAHGDM/rHfniICHqtY/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
GPLJK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni. Â Â Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aUcLKVce_Ck/U2yKL3fp0II/AAAAAAAFgfA/rUStd5Z8Q78/s72-c/New+Picture+(5).png)
MAMA MARIA NYERERE ATUMA SALAAM KWA MZEE KENETH KAUNDA WA ZAMBIA
Mnamo tarehe 28 Aprili 2014 Mheshimiwa Mzee Kenneth David Kaunda (KK), Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Zambia alifikisha miaka tisini (90). Sherehe kubwa iliandaliwa siku hiyo ambapo Mama Maria Nyerere alialikwa lakini kwa sababu zisizozuilika hakuweza kuhudhuria. Ili kukamilisha nia hiyo Mama Nyerere akamtuma mwanae Mheshimiwa Makongoro Nyerere ambae pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kuja kuwasilisha salamu za pongezi zake binafsi na za familia ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage...
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
VijimamboRais Kikwete amtembelea Rais Kaunda Lusaka
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s72-c/bye1.jpg)
NEWS ALERT: RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OypXjzTqX_s/VjyoOe_1ZdI/AAAAAAAIEo0/Oye2IBrFo5g/s640/bye2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/nD54_i88gds/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SmHfEQvA8lY/VZuDp7byI_I/AAAAAAAHnbk/BjDs7ya1u_I/s72-c/lu.jpg)
ofisi ndogo ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) yazinduliwa mjini Lusaka, zambia
![](http://2.bp.blogspot.com/-SmHfEQvA8lY/VZuDp7byI_I/AAAAAAAHnbk/BjDs7ya1u_I/s640/lu.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-17Tu_-eRlg8/VZuCy1FiZDI/AAAAAAAHnbY/HFV3w_hFdY8/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s72-c/unnamed+(23).jpg)
BALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA AFUTURISHA WATANZANIA WAISHIO LUSAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1fsOMLuPks/U812dyqRm6I/AAAAAAAF4ic/lGSiuLgHB60/s1600/unnamed+(24).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania