Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA MARIA NYERERE ATUMA SALAAM KWA MZEE KENETH KAUNDA WA ZAMBIA

Mnamo tarehe 28 Aprili 2014 Mheshimiwa Mzee Kenneth David Kaunda (KK), Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Zambia alifikisha miaka tisini (90). Sherehe kubwa iliandaliwa siku hiyo ambapo Mama Maria Nyerere alialikwa lakini kwa sababu zisizozuilika hakuweza kuhudhuria. Ili kukamilisha nia hiyo Mama Nyerere akamtuma mwanae Mheshimiwa Makongoro Nyerere ambae pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kuja kuwasilisha salamu za pongezi zake binafsi na za familia ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Dr.Keneth Kaunda alazwa Hospitali Mjini Lusaka

Aleyekuwa Rais wa mwanzo wa Zambia mkongwe wa siasa Dr.Kenneth Kaunda amelazwa katika Hosptali ya Lusaka Trust Hospital kuanzia Ijumaa wiki ya jana, Mzee Kaunda haijulikani ugonjwa gani uliokuwa unamsumbua lakini kwa sasa hali yake inaendelea vema mapema pia Rais wa sasa wa nchi Bw.Michael Sata na mkewe Bi.Dr.Christine Kaseba walenda kumjulia hali Mzee Kenneth Kaunda aka KK(pichani kama kawaida na kitambaa cheupe)

 

10 years ago

GPL

JK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.    Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye...

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ACHOTA BARAKA KWA MAMA MARIA NYERERE KUELEKEA SAFARI YAKE YA URAIS NCHINI TANZANIA

Mwigulu Nchemba akiwa na Mama Maria Nyerere hii leo Kijijini Butiama,Nyumbani kwa Hayati Baba wa Taifa Mwl.Julius Kambarage Nyerere alipokwenda kusalimia .Mwigulu Nchemba akiweka shada la Maua kwenye Kaburi la Baba wa Taifa Mwl.Nyerere,Nyerere anaendelea kukumbukwa kwa kuwa Muasisi wa Taifa letu na Kiongozi aliyeweka Misingi Imara ya Tanzania tuliyonayo sasa.
Mh.Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Mama Maria nyerere hii leo,Nyumbani Butiama.Wakati wa kuchota Baraka za Mama Maria nyerere akiwa...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU TAUSI 25 KILA MMOJA NA MAMA MARIA NYERERE KWA KUTAMBUA MCHANGO WAO KATIKA TAIFA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi hati ya Makabidhiano ya ndege aina ya Tausi 25 kwa Rais Mstaafu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mama Maria Nyerere kuandika kitabu

Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema ataandika kitabu kuelezea hatua mbalimbali ambazo nchi imepitia tangu wakati wa ukoloni hadi sasa.

 

10 years ago

TheCitizen

Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal

>Mwalimu Nyerere’s widow, Mama Maria Nyerere, yesterday urged Parliament to exhaustively debate the Tegeta escrow account  scandal.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela

Uhusiano kati ya familia ya Mwalimu Nyerere na ile ya Mzee Nelson Mandela umekuwa ni wa karibu kiasi kwamba familia yake inajiandaa kwenda kuhudhuria mazishi ya Mandela

 

11 years ago

Daily News

Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy


Daily News
Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy
Daily News
MWALIMU Julius Nyerere's widow, Mama Maria Nyerere, has confirmed to have received an apology from a legislator who uttered scornful remarks about Mwalimu in the Constituent Assembly shortly before it was adjourned last month. Speaking to members ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani