NEWS ALERT: Mahakama yamzuia Davido kuperform katika tamasha la Fiesta
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UdRE5MqLak/VEIcp5ZQF1I/AAAAAAAGrak/-43dDFaZ3VQ/s72-c/unnamed.jpg)
Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu, Dar es Salaam imemzuia msanii kutoka Nigeria, Adedeji Adelek maarufu kama ‘Davido’ kuperform katika tamasha la Fiesta linaloandaliwa na Clouds Fm na Prime Promotion, October 18,2014.
Amri hiyo imetolewa jana (October 17) na hakimu mkazi wa mahakama ya kisutu , mheshimiwa D. Kisoka kufuatia maombi ya dharura yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Times Fm Radio na Times Fm Promotion.Times Fm Radio na Times Fm Promotion walipeleka maombi ya dharura mahakamani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Video: Mahakama ya Kisutu yamzuia Davido kuperform katika tamasha la Fiesta
Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu, Dar es Salaam imemzuia msanii kutoka Nigeria, Adedeji Adelek maarufu kama ‘Davido’ (pichani) kuperform katika tamasha la Fiesta linaloandaliwa na Clouds Fm na Prime Promotion, October 18,2014.
Amri hiyo imetolewa jana (October 17) na hakimu mkazi wa mahakama ya kisutu , mheshimiwa D. Kisoka kufuatia maombi ya dharura yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Times Fm Radio na Times Fm Promotion.
Times Fm Radio na Times Fm Promotion walipeleka maombi ya dharura...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3UdRE5MqLak/VEIcp5ZQF1I/AAAAAAAGrak/-43dDFaZ3VQ/s72-c/unnamed.jpg)
MAHAKAMA YAMPIGA STOP DAVIDO KUFANYA ONESHO LA FIESTA LEO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UdRE5MqLak/VEIcp5ZQF1I/AAAAAAAGrak/-43dDFaZ3VQ/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-finUv0Dgv_8/VEHqTWkgrzI/AAAAAAAABDg/sT_goprTbrk/s1600/10671309_816436415046136_9205294663725971356_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RuST1uWC5Wc/VEHqS3MZOdI/AAAAAAAABDc/Dygm1-APOSk/s1600/Davido-akisikiliza-kwa-makini-jambo.jpg)
Na Sakina ShabaniKweli waliosema mwisho wa ubaya ni aibu waliona mbali sana hivyo ndiyo kituo cha Clouds Fm Radio & Prime...
10 years ago
GPL19 Oct
TAMASHA LA FIESTA 2014: DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND NA T.1 WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fZglHBhW5-I/VELu37-OQ0I/AAAAAAAGryM/V0FK8o-21u0/s72-c/6.jpg)
TAMASHA LA FIESTA LAFANA, DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND WAZUA GUMZO, T.I. AWAKUNA WABONGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-fZglHBhW5-I/VELu37-OQ0I/AAAAAAAGryM/V0FK8o-21u0/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fkAwaFFcJvo/VELao1nKoyI/AAAAAAAGrmc/t3XeGR7ltsI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P7UBsROkIe0/VELaozadrOI/AAAAAAAGrmk/t01SufBBi28/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4KkGulqdNjg/VENg8LBcggI/AAAAAAAGr1s/HYyIz_OmIvE/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nen7MGxWJ5U/VArQG8WJXVI/AAAAAAAGfsE/O8ud_ZxqxVk/s72-c/L.jpg)
NEWZ ALERT:TAMASHA LA FIESTA SASA KUFANYIKA KESHO JUMAPILI MJINI MUSOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nen7MGxWJ5U/VArQG8WJXVI/AAAAAAAGfsE/O8ud_ZxqxVk/s1600/L.jpg)
MKurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi,Bwa.Ruge Mutahaba (Wanne kulia) kwa niaba ya uongozi wa Clouds Media Group na PrimeTime Promotions Ltd ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta 2014,ametangaza rasmi kuwa onesho la tamasha hilo lililobeba ujumbe murua kabisa wa sambaza upendo, litafanyika kesho jumapili ndani ya uwanja wa Karume.
Tamasha hilo la Fiesta lilipangwa kufanyika JANA ijumaa mjini Musoma mkoani Mara lakini kufuatia ajali mbaya iliyotokea mkoani humo jana na kusababisho...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fkAwaFFcJvo/VELao1nKoyI/AAAAAAAGrmc/t3XeGR7ltsI/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA FIESTA LAFANA,DAVIDO,ALI KIBA,DIAMOND WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI,T.I AWAKUNA WABONGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fkAwaFFcJvo/VELao1nKoyI/AAAAAAAGrmc/t3XeGR7ltsI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P7UBsROkIe0/VELaozadrOI/AAAAAAAGrmk/t01SufBBi28/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4KkGulqdNjg/VENg8LBcggI/AAAAAAAGr1s/HYyIz_OmIvE/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi01 May
NEWS ALERT: JK ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10