HUSNA MALIMA: Mtoto aliyepotea katika mazingira tata
“HUWA machozi yananitoka ,nashindwa kula wala sipati usingizi, mtoto wangu kipenzi Husna Malima ametoweka katika mazingira ya kutatanisha wakati akicheza na wenzake.” Hayo ni maneno ya baba mzazi wa Husna(2); ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Mtoto apotea katika mazingira ya kutatanisha
MTOTO Baraka John (13) mwanafunzi wa shule ya msingi Hunyari katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amepotea katika mazingira ya kutatanisha, wakati akiwa nyumbani kwao. Mzazi wa mtoto huyo ambaye...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mtoto aliyepotea akutwa mtupu
MTOTO Lusia Moga (2) aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Julai 8, mwaka huu kati Kijiji cha Bukore wilayani Bunda, Mara amekutwa akiwa mtupu nyumbani kwa Magembe Nyabu, mkazi wa kijiji...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s72-c/20150925063642.jpg)
MTOTO ALIYEPOTEA NA HOUSE-GIRL APATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s640/20150925063642.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-epMam56GaSk/VgVReKNI8OI/AAAAAAAAt80/jTpBCrZvPHk/s640/20150925063641.jpg)
10 years ago
CloudsFM22 Jan
POLISI MWANZA WAMSAKA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA
POLISI wametangaza kutoa dau la shilingi milioni tatu sawa na dola 1,700 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mtoto albino, Pendo Emmanuel aliyetoweka nyumbani kwake na kupelekwa mahali pasipojulikana mwezi uliopita mkoani Mwanza.
Awali watu 15 walikamatwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kufuatia msako unaojulikana kama 'Hakuna kulala' dhidi mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Pendo Emanuel kutekwa na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 27.12.2014 nyumbani kwao...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKPU1d1v-n6*LI0dIebYPEJ99ovnEIQhXm-KC4Jc4J6uKGwKmL-*kRMIRCKwvIuDs2Djn5SRTfeyeNOYicz-a23J/IMG20140716WA0000001.jpg?width=650)
MTOTO ALIYEPOTEA CHANGANYIKENI YADAIWA ALICHUKULIWA NA BABA YAKE
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-zWOam5dPKSE/VLzrvfZfiZI/AAAAAAAAJFE/X8eoTLgJh8g/s72-c/blogger-image--619882701.jpg)
POLISI SASA MAJI YA SHINGO...WAAMUA KISAMBAZA PICHA ZA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA -KWIMBA
![](https://lh5.googleusercontent.com/-zWOam5dPKSE/VLzrvfZfiZI/AAAAAAAAJFE/X8eoTLgJh8g/s640/blogger-image--619882701.jpg)
10 years ago
CloudsFM26 Jan
MTANGAZAJI WA CLOUDS FM, HUSNA ABDUL ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KATIKA HOSPITALI YA AMANA.
MTANGAZAJI wa Clouds kupitia kipindi cha Leo Tena Husna Abdul jana alisherekea siku yake ya kuzaliwa katika Hospitali ya Amana ambako alizaliwa miaka kadhaa iliyopita.
Husna Abdul ambaye pia ameteuliwa kuwa BALOZI WA KUJITOLEA WA WATOTO katika hospitali hiyo, leo aliambatana na wafanyakazi wa Clouds, wasanii wa muziki, wadau na wasikilizaji wa clouds.
Husna alitoa misaada ya vifaa tiba katika wodi ya wazazi katika hospitali hiyo ya Amana, kama sehemu ya maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.
Kwa...
11 years ago
Mwananchi23 May
Kesi ya upasuaji tata katika usuluhishi