MTOTO ALIYEPOTEA CHANGANYIKENI YADAIWA ALICHUKULIWA NA BABA YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKPU1d1v-n6*LI0dIebYPEJ99ovnEIQhXm-KC4Jc4J6uKGwKmL-*kRMIRCKwvIuDs2Djn5SRTfeyeNOYicz-a23J/IMG20140716WA0000001.jpg?width=650)
Mtoto Marlyn. Mtoto Marlyn wa Changanyikieni jijini Dar es Salaam aliyedaiwa kupotea na kuzua sintofahamu miongoni mwa watu juzi na jana ina semekana amechukuliwa na baba yake mzazi. (Chanzo: Global WhatsApp +255 753 715…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mtoto wa Kingunge amgeuka baba yake
MTOTO wa mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru, Kunje amempinga baba yake na kusema kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote kwa kushirikiana na Ukawa kama ambavyo wamekuwa wakijinadi.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H-XNPC5MG54/U8Wtw9JadAI/AAAAAAAF2m4/ly5JCmqtpgc/s72-c/3020c88a036f4389c1a0a3f7a5299c05.jpg)
Msaada tutani: mtoto aibwa changanyikeni leo, ataemuona atoe taarifa polisi
![](http://1.bp.blogspot.com/-H-XNPC5MG54/U8Wtw9JadAI/AAAAAAAF2m4/ly5JCmqtpgc/s1600/3020c88a036f4389c1a0a3f7a5299c05.jpg)
ATAKAEMUONA NNAOMBA ATUSAIDIE KUTOA TAARIFA KITUO CHOCHOTE CHA POLICE. AMEIBIWA NA MKAKA KANYOA PANK.
Please upatapo ujumbe huu mfowardie na mwenzako
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Mtoto wa Monalisa Alishangaa Siku ya Msiba wa Baba Yake
Sonia Tyson George mtoto wa aliekuwa muongozaji mkubwa wa fialamu hapa , Marehemu George Tyson amesema kuwa siku ya msiba wa baba yake alishangaa sana kuona watu wengi nyumbani kwao na kuamini kuwa baba yake ni mtu maarufu katika jamii.
Ikiwa ni mwaka mmoja sasa umepita tangu baba yake afariki dunia, Sonia akiongea kwenye kipindi cha filamunata alisema kuwa mbali na baba yake ni kitendo ambacho hatokisahu katika maisha yake lakini anajikaza na kujipa moyo kwa sababu ni...
9 years ago
StarTV24 Oct
Mtoto wa Kingunge alimshauri baba yake apumzike siasa
Aliyekuwa Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ambaye amehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kingunge Ngombali Mwiru ameshauriwa na mwanaye Kinje kupumzika kwenye masuala ya siasa za majukwaa ili kuendelea kujitunzia heshima kama miaka ya nyuma.
Kinje amebainisha kuwa nchi hii inamuhitaji baba yake katika mambo ya msingi hususani kutunza na kuendeleza amani ambayo inapaswa kuenziwa kwa sasa tofauti na anavyofanya kada huyo aliyedai kujihusisha na siasa ambazo ameziita za...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s72-c/YJ.jpg)
MTOTO JAJI MSTAAFU AZUNGUMZIA KIFO CHA BABA YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s400/YJ.jpg)
"Ni kweli amefariki leo mida ya saa 2 asubuhi, alikuwa Aga khan na baadaye akaenda Kenya kwa matibabu zaidi na baadaye akarudi nyumbani lakini akawa bado anaumwa, sasa hivi wana familia wanafanya taratibu kwa chochote kitakachotokea...
10 years ago
Vijimambo05 Feb
Polisi auawa akiokoa mtoto asiuawe na baba yake mzazi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/david-05Feb2015.jpg)
Askari Polisi PC Joseph Swai, ameuawa wakati akimwokoa mtoto wa miezi minane, aliyekuwa akiteswa na baba yake mzazi katika mtaa wa Chang'ombe Juu mjini hapa.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime, alisema tukio hilo lilitokea jana saa 5:00 asubuhi na kumtaja mtoto aliyekuwa anateswa kuwa ni Valerian Mallya.
Alisema awali, polisi huyo alipigiwa simu na Mtendaji wa mtaa wa Chang'ombe Juu, akimjulisha kuwa amepokea taarifa kutoka kwa Oliva...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-HHw7P_B8MaI/UsqT9p7-g8I/AAAAAAAFE-E/yM_qMszmEJY/s1600/1.jpg?width=640)
MTOTO AUAWA NA BABA YAKE KWA KUPIGWA NGUMI MKOANI MBEYA
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mtoto aliyepotea akutwa mtupu
MTOTO Lusia Moga (2) aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Julai 8, mwaka huu kati Kijiji cha Bukore wilayani Bunda, Mara amekutwa akiwa mtupu nyumbani kwa Magembe Nyabu, mkazi wa kijiji...