Mtoto wa Kingunge alimshauri baba yake apumzike siasa
Aliyekuwa Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ambaye amehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kingunge Ngombali Mwiru ameshauriwa na mwanaye Kinje kupumzika kwenye masuala ya siasa za majukwaa ili kuendelea kujitunzia heshima kama miaka ya nyuma.
Kinje amebainisha kuwa nchi hii inamuhitaji baba yake katika mambo ya msingi hususani kutunza na kuendeleza amani ambayo inapaswa kuenziwa kwa sasa tofauti na anavyofanya kada huyo aliyedai kujihusisha na siasa ambazo ameziita za...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mtoto wa Kingunge amgeuka baba yake
MTOTO wa mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru, Kunje amempinga baba yake na kusema kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote kwa kushirikiana na Ukawa kama ambavyo wamekuwa wakijinadi.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKPU1d1v-n6*LI0dIebYPEJ99ovnEIQhXm-KC4Jc4J6uKGwKmL-*kRMIRCKwvIuDs2Djn5SRTfeyeNOYicz-a23J/IMG20140716WA0000001.jpg?width=650)
MTOTO ALIYEPOTEA CHANGANYIKENI YADAIWA ALICHUKULIWA NA BABA YAKE
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Mtoto wa Monalisa Alishangaa Siku ya Msiba wa Baba Yake
Sonia Tyson George mtoto wa aliekuwa muongozaji mkubwa wa fialamu hapa , Marehemu George Tyson amesema kuwa siku ya msiba wa baba yake alishangaa sana kuona watu wengi nyumbani kwao na kuamini kuwa baba yake ni mtu maarufu katika jamii.
Ikiwa ni mwaka mmoja sasa umepita tangu baba yake afariki dunia, Sonia akiongea kwenye kipindi cha filamunata alisema kuwa mbali na baba yake ni kitendo ambacho hatokisahu katika maisha yake lakini anajikaza na kujipa moyo kwa sababu ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s72-c/YJ.jpg)
MTOTO JAJI MSTAAFU AZUNGUMZIA KIFO CHA BABA YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s400/YJ.jpg)
"Ni kweli amefariki leo mida ya saa 2 asubuhi, alikuwa Aga khan na baadaye akaenda Kenya kwa matibabu zaidi na baadaye akarudi nyumbani lakini akawa bado anaumwa, sasa hivi wana familia wanafanya taratibu kwa chochote kitakachotokea...
10 years ago
Vijimambo05 Feb
Polisi auawa akiokoa mtoto asiuawe na baba yake mzazi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/david-05Feb2015.jpg)
Askari Polisi PC Joseph Swai, ameuawa wakati akimwokoa mtoto wa miezi minane, aliyekuwa akiteswa na baba yake mzazi katika mtaa wa Chang'ombe Juu mjini hapa.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime, alisema tukio hilo lilitokea jana saa 5:00 asubuhi na kumtaja mtoto aliyekuwa anateswa kuwa ni Valerian Mallya.
Alisema awali, polisi huyo alipigiwa simu na Mtendaji wa mtaa wa Chang'ombe Juu, akimjulisha kuwa amepokea taarifa kutoka kwa Oliva...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-HHw7P_B8MaI/UsqT9p7-g8I/AAAAAAAFE-E/yM_qMszmEJY/s1600/1.jpg?width=640)
MTOTO AUAWA NA BABA YAKE KWA KUPIGWA NGUMI MKOANI MBEYA
10 years ago
Bongo Movies13 Jun
Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.
ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.
“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...