Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.
ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.
“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLJOHARI AFIWA NA BABA YAKE MDOGO
11 years ago
Bongo Movies21 Jul
MSIBA: Johari afiwa na baba yake. Tazama picha za mazishi yalivyokuwa leo.
R.IP baba yetu kipenzi CLEMENT KIENZE CHAGULA tulikupenda sana ila mungu amekupenda zaidi .daima tutakukumbuka milele pumzika kwa amani. Amini.
5 years ago
BBCSwahili30 May
Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Shoga; Unapiga picha za utupu ili iweje sasa?
Awali ya yote napenda kukupongeza shoga yangu kwa kuuona Mwaka Mpya wa 2016 hivyo hatunabudi kila mmoja wetu kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kuufikia kwani kuna wenzetu walitamani kuuona lakini hatunao.
Kama kawaida ya watu kujiwekea malengo kila tunapouanza mwaka mpya, nawe fanya hivyo ili utakapofika Desemba utembee kifua mbele kwa kufanikisha malengo yako.
Baada ya kusema hayo shoga yangu, sasa narejea kwenye jambo ambalo nimeona ni vyema nikazungumza nawe lengo likiwa ni...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Tunataka kunusuru mchakato wa katiba mpya ili iweje?
NAKUMBUKA nilipoingia darasani kufundishwa namna ya kutumia kompyuta, mwalimu aliyeingia darasani wa kwanza alianza na sentensi fupi ya kimombo kabla hata hatujasalimiana na kutambulishana. Nakumbuka alisema “garbage in, garbage out.”...
10 years ago
GPL
UNAJENGA UKARIBU NA MKE, MPENZI WA MTU ILI IWEJE?
10 years ago
GPL
WEMA, AUNT, YOTE HAYA ILI IWEJE SASA?
10 years ago
Habarileo24 Oct
Mtoto wa Kingunge amgeuka baba yake
MTOTO wa mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru, Kunje amempinga baba yake na kusema kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote kwa kushirikiana na Ukawa kama ambavyo wamekuwa wakijinadi.
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Mtoto wa Monalisa Alishangaa Siku ya Msiba wa Baba Yake
Sonia Tyson George mtoto wa aliekuwa muongozaji mkubwa wa fialamu hapa , Marehemu George Tyson amesema kuwa siku ya msiba wa baba yake alishangaa sana kuona watu wengi nyumbani kwao na kuamini kuwa baba yake ni mtu maarufu katika jamii.
Ikiwa ni mwaka mmoja sasa umepita tangu baba yake afariki dunia, Sonia akiongea kwenye kipindi cha filamunata alisema kuwa mbali na baba yake ni kitendo ambacho hatokisahu katika maisha yake lakini anajikaza na kujipa moyo kwa sababu ni...