Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India
Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu nchini India
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Apr
MWANACHUO MJAMZITO WA GARISSA, KENYA AJIFANYA AMEKUFA KWA SAA 10 KUNUSURU MAISHA YAKE
Mwananfunzi mmoja Milicent Murungi wa chuo kikuu cha Garissa ambaye ni mjamzito wa miezi 8 amesema ilibidi ajifanye amekufa chuo chao kilipovamiwa na wapiganaji wa Al shabab na kuua wanachuo wasiokua na hatia.
Milicent Murungi akiongea na waandishi wa habari alisema ilibidi ajifanye amekufa kwa saa 10 baada ya wenzake waliokua nao kwenye chumba hicho kuawa na yeye kuchukua damu ya mmoja ya wanafunzi kujipaka kichwani wakati...
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Huyu ni shabiki wa Samatta maarufu kama ‘Ujugu’ ambaye amekuwa akimfuatilia unyounyo.
10 years ago
Bongo Movies13 Jun
Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.
ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.
“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Siku ya akinababa duniani: Maisha ya baba muendeshapikipiki anayelea watoto wadogo peke yake
10 years ago
Vijimambo11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Msichana mwingine ajinyonga India
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Tunataka kunusuru mchakato wa katiba mpya ili iweje?
NAKUMBUKA nilipoingia darasani kufundishwa namna ya kutumia kompyuta, mwalimu aliyeingia darasani wa kwanza alianza na sentensi fupi ya kimombo kabla hata hatujasalimiana na kutambulishana. Nakumbuka alisema “garbage in, garbage out.”...
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Msichana auawa kwa kumtetea babake India
5 years ago
MichuziMR IBU MUIGIZAJI MAARUFU ALIYEANZA MAISHA KWA KUUZA KUNI
ANAFAHAMIKA zaidi kwa jina la "Mr.Ibu" ni John Ikechukwu Okafor mwigizaji na mchekeshaji kutoka nchini Nigeria, Okafor anatajwa kuwa mchekeshaji mashuhuri ndani na nje ya nchi hiyo anayemiliki utajiri mkubwa kupitia sanaa yake.
Okafor alizaliwa Oktoba 17, 1961 katika mji wa Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria, alizaliwa na kukulia huko pamoja na kupata elimu yake ya msingi na sekondari pia an taaluma ya uandishi wa habari aliyoipata katika chuo cha (IMT.) Tangu...