MWANACHUO MJAMZITO WA GARISSA, KENYA AJIFANYA AMEKUFA KWA SAA 10 KUNUSURU MAISHA YAKE
Mwanachuo Milicent Murugi akiongeaa na wanahabari Picha na Jeff Angote
Mwananfunzi mmoja Milicent Murungi wa chuo kikuu cha Garissa ambaye ni mjamzito wa miezi 8 amesema ilibidi ajifanye amekufa chuo chao kilipovamiwa na wapiganaji wa Al shabab na kuua wanachuo wasiokua na hatia.
Milicent Murungi akiongea na waandishi wa habari alisema ilibidi ajifanye amekufa kwa saa 10 baada ya wenzake waliokua nao kwenye chumba hicho kuawa na yeye kuchukua damu ya mmoja ya wanafunzi kujipaka kichwani wakati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili30 May
Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India
10 years ago
BBCSwahili04 Apr
Garissa:Kenya kuomboleza kwa siku tatu
10 years ago
Vijimambo22 Feb
MWANACHUO ABAKWA, AUWAWA NCHINI KENYA
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2quvCX5p2TO75thhhDG0pUk-rRKKLalta5vNHiOGK5a-lxDvS2wEZnIOcEAgs8fZE3jGNCQt6DLn924UEASmXrp2/Moiuniinside.jpg?width=650)
Mwanafunzi mmoja wa kike kutoka Chuo cha Moi huko Eldoret, Kenya amekutwa amefariki dunia karibu na moja ya hosteli za chuo hicho baada ya kubakwa na kuuwawa kikatili.
Mwanafunzi huyo inasemekana kuwa ni wa mwaka wa tatu chuoni hapo akichukulia masomo ya Sanaa na Sayansi ya Jamii.
Tukio hilo la kinyama, limetokea usiku wa kuamkia leo na bado polisi haijawatia hatiani washtakiwa ama wahusika wa tukio hilo. Habari za mkasa huo zinazidi kuenea kila kona ya chuo, huku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt62Er3zqP2rhc9vlaMPNWHYCTumDHuD5nvrDgx7rtHyBYrUFBt1lLXEYBS5UYNbQVLvenA*-CSQnSqJE5FeEy8rJ/mama.jpg?width=650)
MAMA AJIFANYA NESI, AAJIRIWA HOSPITALINI KWA MUDA MREFU, ADAKWA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWmrEC-Jt48pFlYp5uGeL43upgiAZD7Pu0l61xwqpPJt2*6euQCjy8lCSJM6jqAhptAZlTaijwYiHj6djj7qX5ne/22.jpg)
JAMAA AKUTWA AMEKUFA, MAITI YAKE YALIWA NA PAKA!
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mtu aliyejiita 'mungu' nchini Kenya amekufa!
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Abiria wakwama barabarani kwa saa 48 Kenya
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82511000/jpg/_82511129_82509716.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82670000/jpg/_82670685_82670173.jpg)
Kenya 'ignored Garissa raid warning'