Mtu aliyejiita 'mungu' nchini Kenya amekufa!
Je, wamkumbuka Jehova Wanyonyi Mkenya, kiongozi wa madhehebu wa kundi linalojiita Waisraeli waliopotea, ambaye mapema mwaka huu alisema kuwa yeye ndiye Mungu? Serikali ya Kenya imesema kuwa alifariki miezi mitatu iliyopita na kuzikwa.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania