Garissa:Kenya kuomboleza kwa siku tatu
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Siku 3 kuomboleza waliozama Ziwa Albert
Serikali ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo imetangaza siku 3 za maombolezi ya wakimbizi waliofariki katika ajali ya boti katika ziwa Albert siku ya Jumamosi.
10 years ago
Vijimambo06 Apr
MWANACHUO MJAMZITO WA GARISSA, KENYA AJIFANYA AMEKUFA KWA SAA 10 KUNUSURU MAISHA YAKE
![](http://nairobinews.co.ke/wp-content/uploads/2015/04/editor4561598728425410837-524x350.jpg)
Mwananfunzi mmoja Milicent Murungi wa chuo kikuu cha Garissa ambaye ni mjamzito wa miezi 8 amesema ilibidi ajifanye amekufa chuo chao kilipovamiwa na wapiganaji wa Al shabab na kuua wanachuo wasiokua na hatia.
Milicent Murungi akiongea na waandishi wa habari alisema ilibidi ajifanye amekufa kwa saa 10 baada ya wenzake waliokua nao kwenye chumba hicho kuawa na yeye kuchukua damu ya mmoja ya wanafunzi kujipaka kichwani wakati...
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Chadema watoa siku tatu kwa Rais Kikwete
Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kufuta kauli yake ya kuwataka wana CCM kuacha unyonge na kujibu mapigo dhidi ya upinzani na ametakiwa kuomba radhi ndani ya siku tatu, vinginevyo suala hilo litafikishwa jumuiya za kimataifa.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82511000/jpg/_82511129_82509716.jpg)
5 years ago
MichuziWAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
NA BALTAZAR MASHAKA, Mwanza
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Kenya yaomboleza shambulizi la Garissa
kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa,makanisa yote nchini Kenya yatajitolea kuwaombea waathiriwa wa tukio hilo
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82473000/jpg/_82473129_82472288.jpg)
Kenya suspends police over Garissa
Seven policemen are suspended over failures to act on intelligence about a possible attack on Garissa University College where 148 people were killed.
10 years ago
BBC30 Jul
Kenya's Garissa campus 'must reopen'
Peace activists in Kenya are calling for the reopening of the college where 148 people were killed by gunmen from the Somalia-based al-Shabab group.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania