Chadema watoa siku tatu kwa Rais Kikwete
Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kufuta kauli yake ya kuwataka wana CCM kuacha unyonge na kujibu mapigo dhidi ya upinzani na ametakiwa kuomba radhi ndani ya siku tatu, vinginevyo suala hilo litafikishwa jumuiya za kimataifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--kXmash0fyo/VU6hmB5mKvI/AAAAAAADmkU/Itc_G-3U9OY/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI ALGIERS, ALGERIA, KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU
Rais was Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Algiers, mji mkuu wa Algeria, mchana wa leo, Jumamosi, Mei 9, 2015 kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku tatu katika nchi hiyo rafiki wa miaka mingi wa Tanzania kwa mwaliko wa Rais Abdelaziz Bouteflika.
Rais Kikwete amewasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria akitokea New York, Marekani, ambako kwa wiki nzima amekuwa anaendesha vikao vya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani ambao wanatafuta...
10 years ago
Michuzi10 May
10 years ago
Vijimambo10 May
10 years ago
Dewji Blog10 May
11 years ago
Mwananchi15 Jul
CCT watoa tamko zito kwa Rais Kikwete
Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imetoa tamko zito ikieleza kushangazwa na kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kupinga mapendekezo yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyotokana na maoni ya Watanzania na kusema kitendo hicho kimeishusha hadhi Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoiteua.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--HjGH0NARI4/VVioPWvI-FI/AAAAAAADnJg/Mmx4z-kdZtI/s72-c/ny1.jpg)
RAIS WA MSUMBIJI FILIPE JACINTO NYUSSI AWASILI NCHINI KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU
![](http://4.bp.blogspot.com/--HjGH0NARI4/VVioPWvI-FI/AAAAAAADnJg/Mmx4z-kdZtI/s640/ny1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HcbW634hTbc/VVioP_9DcXI/AAAAAAADnJk/V2sPfec_yoE/s640/ny2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZJ2IPqciv78/VVioPwZ284I/AAAAAAADnJo/D2QPFj7hznA/s640/ny3.jpg)
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE NA MKEWE WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA BALOZI WA MALAWI FLOSSIE CHIDYAONGA
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Marehemu Flossy Gomile-Chidyaonga leo katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete…
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Chadema yaipa NEC siku tatu
Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo watatumia nguvu ya umma kuwalazimisha kufanya hivyo.
11 years ago
Michuzi12 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania