CCT watoa tamko zito kwa Rais Kikwete
Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imetoa tamko zito ikieleza kushangazwa na kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kupinga mapendekezo yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyotokana na maoni ya Watanzania na kusema kitendo hicho kimeishusha hadhi Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoiteua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Bosi zantel azikwa kwa tamko zito!
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu likiwa Kanisani kwa ajili ya kuombewa.
Na Waandishi Wetu, UWAZI
DAR ES SALAAM: Tamko zito limetolewa na waombolezaji kufuatia kifo cha bosi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Kampuni ya Zanzibar Telecom Limited (Zantel), Gabriel Kamukara, 39, (pichani) kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.
Kamukara alipigwa risasi Desemba 22, mwaka jana eneo la Barabara ya Cocacola jijini Dar na kuporwa shilingi milioni 10 alizotoka...
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Chadema watoa siku tatu kwa Rais Kikwete
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE NA MKEWE WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA BALOZI WA MALAWI FLOSSIE CHIDYAONGA
11 years ago
Michuzi12 May
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-blW4I-bz-gk/U_P8Kt7z0rI/AAAAAAAGA0c/eA3z4odY9oU/s72-c/jm1.jpg)
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WATOA POLE KWENYE MSIBA WA MAREHEMU JAJI MAKAME
![](http://2.bp.blogspot.com/-blW4I-bz-gk/U_P8Kt7z0rI/AAAAAAAGA0c/eA3z4odY9oU/s1600/jm1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3F2Gq5t_O8s/U_P8DbZRnkI/AAAAAAAGA0M/sUV2YHaVXYk/s1600/jm2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
THRDC watoa tamko kwa umma juu ya hali ya watetezi wa haki za wafugaji Loliondo
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu THRDC Taifa, Bw. Onesmo Olengurumwa, akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la kulaani vikali kutishwa kwa watetezi wa haki za wafugaji walioko Loliondo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo uliofanyika kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dar es Salaam.
tamko loliondo chragg kiswahili.doc by moblog
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtandao wa Haki za Binadamu watoa tamko juu ya kutekwa na kuteswa kwa kiongozi wa wahitimu JKT
Mwenyekiti wa JKT Tanzania, Bw. George Mgoba akiwa wodini.
TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI.docx by moblog
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Kikwete azingatie ushauri wa CCT kuinusuru nchiÂ
KAMA Rais Jakaya Kikwete anataka akumbukwe kwa mazuri aliyowafanyia Watanzania baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya uongozi, ajirudi na kuwaambia wenziye wa CCM kukubaliana na maoni ya wananchi...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Tamko la TBN kumuomba Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete asipitishe Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandaoni, 2015
Tamko la Bloggers Tanzania.pdf by moblog