Kikwete azingatie ushauri wa CCT kuinusuru nchiÂ
KAMA Rais Jakaya Kikwete anataka akumbukwe kwa mazuri aliyowafanyia Watanzania baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya uongozi, ajirudi na kuwaambia wenziye wa CCM kukubaliana na maoni ya wananchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jul
CCT watoa tamko zito kwa Rais Kikwete
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Ushauri wa #Kikwete kwa wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete ahaha kupata ushauri
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Rais ajaye azingatie mabadiliko katika elimu
WAKATI kukiwa na hamu ya kujua nani atakuwa rais wa awamu ya tano atakayepokea kijiti cha Rais Jakaya Kikwete, bado sekta ya elimu ina changamoto zinazohitaji utatuzi wa haraka.
Moja ya matatizo hayo ni kubadilishwa mitaala ya elimu mara kwa mara kila anapoingia waziri mpya wa elimu, hawazingatii mazingira ya wanafunzi namna watakavyoipokea wanachojali ni kutumikia siasa na matakwa binafsi.
Si wakufunzi tu bali hata wanafunzi hupoteza mwelekeo na mpangilio wa masomo, hivyo kufanya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z7kr8UcMEW8/XnXbVQFdfHI/AAAAAAALkoY/RgpzvmlCkwIRFb2U0loZLaUKhYXdImJwwCLcBGAsYHQ/s72-c/Prof.-Mohamed-Y.-Janabi_300_300shar-50brig-20_c1.jpg)
ALICHOKISEMA MKURUGENZI TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE PROFESA MOHAMED JANAB KUHUSU HATARI YA UGONJWA WA CORONA NA USHAURI WAKE KWA WATANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z7kr8UcMEW8/XnXbVQFdfHI/AAAAAAALkoY/RgpzvmlCkwIRFb2U0loZLaUKhYXdImJwwCLcBGAsYHQ/s400/Prof.-Mohamed-Y.-Janabi_300_300shar-50brig-20_c1.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
WAKATI Dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona( COVID-19) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Profesa Mohame Janab amewaambia Watanzania kuwa kwasasa kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine kwa kuepuka mikusanyiko, mikutano,send of na harusi huku akifafanua ugonjwa huo ni hatari na hauwezi kulinganishwa na aina nyingine ya mafua au ugonjwa wowote.
Kupitia taarifa yake ambayo...
10 years ago
Habarileo18 Nov
CCT yaombwa kutatua mgogoro Moravian
UONGOZI wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini Magharibi umeamua kukutana na Kamati Teule ya Usuluhishi wa Migogoro ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kuomba iingilie kati kufanya usuluhishi wa mgogoro unaoendelea kukabili kanisa hilo.
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Abood awaondoa hofu wakazi wa CCT
10 years ago
IPPmedia27 Jan
CCT challenges Parliament over Kadhi Courts
IPPmedia
The National Assembly resumes in Dodoma today, with the Christian Council of Tanzania (CCT) having openly challenged it over the idea of tabling the Amendment of Miscellaneous Laws. The proposed legislation would include the establishment of Kadhi ...
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ujerumani kuridhia kuinusuru Ugiriki?