Rais ajaye azingatie mabadiliko katika elimu
WAKATI kukiwa na hamu ya kujua nani atakuwa rais wa awamu ya tano atakayepokea kijiti cha Rais Jakaya Kikwete, bado sekta ya elimu ina changamoto zinazohitaji utatuzi wa haraka.
Moja ya matatizo hayo ni kubadilishwa mitaala ya elimu mara kwa mara kila anapoingia waziri mpya wa elimu, hawazingatii mazingira ya wanafunzi namna watakavyoipokea wanachojali ni kutumikia siasa na matakwa binafsi.
Si wakufunzi tu bali hata wanafunzi hupoteza mwelekeo na mpangilio wa masomo, hivyo kufanya...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLWATANZANIA MUWE MAKINI KATIKA KUMPATA RAIS AJAYE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s72-c/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
Rais Kikwete afanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri
![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s640/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
Hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Ametangaza mabadiliko katika baraza lake la Mawaziri
Rais Kikwete amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano. Tangazo hilo lililotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika Ikulu ya Rais Balozi
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa Waziri wa Nishati na madini Prof Sospeter Muhongo ambae amejiuzulu mapema leo pamoja na...
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
JK azungumzia Rais ajaye
NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
JK ataja changamoto za rais ajaye
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.
Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.
Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mkapa ataja sifa za rais ajaye
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Jaji Warioba: Rais ajaye anafahamika
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Zigo la JK Kigoma kwa rais ajaye
10 years ago
Habarileo30 Mar
Wataka Rais ajaye adhibiti ufisadi
WAKATI joto la Urais likishika kasi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, wananchi wa Tanzania wameonesha kumtaka rais ambaye atahakikisha anadhibiti rushwa na ufisadi, upatikaji wa ajira na elimu bora nchini.
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Rais ajaye anavyoweza kuongeza ajira