Jaji Warioba: Rais ajaye anafahamika
Wakati Taifa zima likiwa katika kitendawili cha kumjua kiongozi wa nchi atakayepatikana baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Rais ajaye anafahamika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Rais Kikwete hakuitendea haki tume ya Jaji Warioba
KILE kilichokuwa kikipiganiwa na Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, hadi kuvunja kanuni za Bunge hilo, kimedhihirika jana. Bado tunakumbuka jinsi Sitta alivyovunja kanuni kwa makusudi...
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AMFARIJI JAJI WARIOBA KWA KUFIWA NA MKWE WAKE



10 years ago
Michuzi
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE


11 years ago
Tanzania Daima07 May
Jaji Msumi hajajifunza kwa Jaji Warioba?
BAADA ya kusikia matusi, kejeli na mipasho toka kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba dhidi ya Jaji Joseph Warioba, sasa macho na masikio tunaelekeza kwa Jaji mstaafu Hamis Msumi...
10 years ago
Vijimambo
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA


11 years ago
Tanzania Daima19 Oct
JK amemchuuza Jaji Warioba
NILIPOONA Rais Jakaya Kikwete akilihutubia na kulizindua Bunge Maalum la Katiba, huku akiikosoa rasimu ya pili iliyowasilishwa kwake na Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba,...
11 years ago
Mtanzania04 Oct
Jaji Warioba: Najipanga

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
Na Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kupitishwa na Bunge Maalumu la Katiba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ameibuka na kusema kwamba atazungumza baada ya kuisoma Katiba hiyo iliyopendekezwa.
Juzi baada ya Bunge hilo kupitisha Katiba inayopendekezwa, wananchi wa kada mbalimbali, viongozi wa kisiasa, dini, wasomi na baadhi ya taasisi walionyesha wazi kutofautiana, wengine...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Jaji Warioba afura
WAKATI vita ya maneno ya mjadala wa rasimu ya pili ya katiba ikipiganwa nje na ndani ya Bunge, huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kumshambulia Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko...