RAIS KIKWETE AMFARIJI JAJI WARIOBA KWA KUFIWA NA MKWE WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-LOwMZ4GvkOo/U3c29Q8IQtI/AAAAAAAFiSY/slT1k-dXooM/s72-c/w1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha kumbukumbu alipokwenda kuhani msiba wa mama mkwe wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (aliyesimama pembeni) ,Marehemu Hedwig Laurent Ojjik, Oysterbay jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mama mkwe wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba,Marehemu Hedwig Laurent Ojjik, Oysterbay jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014
Rais Jakaya Mrisho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 May
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu kwa kufiwa na baba yake
![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3bnvT7nf1GM/VbHUNHvl7XI/AAAAAAAHrak/dxnt2lkl0gw/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
MichuziDKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MSAZI
10 years ago
MichuziMh. Lowassa amfariji mzee Ndejembi,kwa kufiwa na mjukuu wake
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Rais Kikwete hakuitendea haki tume ya Jaji Warioba
KILE kilichokuwa kikipiganiwa na Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, hadi kuvunja kanuni za Bunge hilo, kimedhihirika jana. Bado tunakumbuka jinsi Sitta alivyovunja kanuni kwa makusudi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AKNPWrvPBB0/U3ZnTIU3qkI/AAAAAAAFiK0/zswNpullRCg/s72-c/sa1.jpg)
Rais Kikwete Amfariji Salva Rweyemamu na familia kwa msiba wa Private Brian
![](http://4.bp.blogspot.com/-AKNPWrvPBB0/U3ZnTIU3qkI/AAAAAAAFiK0/zswNpullRCg/s1600/sa1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ukqz_8cKbDA/U3ZnTF6cXYI/AAAAAAAFiK4/PeEpsvzJWzo/s1600/sa2.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu