Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Marehemu John Edward Mchechu ambaye ni baba wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) Bwana Nehemia Mchechu. Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa Mkurugenzi huyo Mbezi Beach jana kumpa pole kufuatia kifo cha Baba yake aliyekuwa anaugua ugonjwa wa kiharusi.Kulia aliyesimama ni Mtoto wa Marehemu Bwana Nehemia Mchechu.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akiifariji familia ya marehemu John Edward Mchechu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu kwa kufiwa na baba yake
![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3bnvT7nf1GM/VbHUNHvl7XI/AAAAAAAHrak/dxnt2lkl0gw/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Nehemia Mchechu mgeni rasmi tamasha la ‘mateja’
NA MWANDISHI WETU
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la kwaya mbalimbali lenye lengo la kuchangia uanzishwaji wa Kituo cha kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya.
Tamasha hilo lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, litafanyika Jumapili ya Oktoba 18, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Msanii kutoka Kenya, Solomoni Mukubwa, kwaya ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t7fzP48jN30/U6fqRE4ZKpI/AAAAAAAFsZE/otg-vI1Wt9E/s72-c/Screen+Shot+2014-06-23+at+11.45.38+AM.png)
NDG. Nehemia Mchechu nyie mwenyekiti mpya wa Bodi ya SBL
Ndugu Nehemia Mchechu kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la Taifa( NHC) . Bw. Mchechu anauzoefu mkubwa katika masuala ya fedha na usimamizi....
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu atembelea miradi Geita na Mwanza
Msimamizi wa mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Bombambili Geita Bw, Julius Ntoga (kulia) akitoa maelezo ya mradi huo kwa ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu alipotembelea mradi huo jana. Mradi huo wenye nyumba 48 ni wa nyumba za kuuza na unakamilika Februari mwaka huu.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC ukitembelea nyumba za gharama nafuu zilizojengwa eneo la Bombambili, Geita kwa ajili ya kuuzia wananchi.
Sehemu ya nyumba za gharama nafuu zilizojengwa...
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete aifariji familia ya marehemu John Edward Mchechu
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) Bw. Nehemia Mchechu. Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa Mkurugenzi huyo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam julai 23, 2015 kumpa pole kufuatia kifo cha Baba yake aliyekuwa anaugua ugonjwa wa kiharusi.
Marehemu atasafirishwa kuelekea Muheza, Tanga kwa ajili ya Mazishi. Mazishi yatafanyika Kijiji cha Enzi, Muheza – Tanga siku ya Jumamosi tarehe 25/07/2015.(PICHA ZOTE NA KIKOSIKAZI CHA...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LOwMZ4GvkOo/U3c29Q8IQtI/AAAAAAAFiSY/slT1k-dXooM/s72-c/w1.jpg)
RAIS KIKWETE AMFARIJI JAJI WARIOBA KWA KUFIWA NA MKWE WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-LOwMZ4GvkOo/U3c29Q8IQtI/AAAAAAAFiSY/slT1k-dXooM/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Clyg5eeodYY/U3c291xTQeI/AAAAAAAFiSc/eT-wRVXdw5M/s1600/w2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iXX4F04PwYY/U3c29fWKrCI/AAAAAAAFiSg/c3IPAmRknWA/s1600/w3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AKNPWrvPBB0/U3ZnTIU3qkI/AAAAAAAFiK0/zswNpullRCg/s72-c/sa1.jpg)
Rais Kikwete Amfariji Salva Rweyemamu na familia kwa msiba wa Private Brian
![](http://4.bp.blogspot.com/-AKNPWrvPBB0/U3ZnTIU3qkI/AAAAAAAFiK0/zswNpullRCg/s1600/sa1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ukqz_8cKbDA/U3ZnTF6cXYI/AAAAAAAFiK4/PeEpsvzJWzo/s1600/sa2.jpg)
10 years ago
Habarileo12 May
Kikwete amfariji Mama Nyerere
RAIS Jakayao Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9, 2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.