Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete Amfariji Salva Rweyemamu na familia kwa msiba wa Private Brian

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ofisi ya Rais Ikulu Bwana Salva Rweyemamu Kinondoni jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye Private Brian Salva Rweyemamu kilichotokea jana katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini baada ya kuugua kwa muda mfupi. Marehemu Private Brian anatarajiwa kuzikwa kesho mchana(Jumamosi) katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipa pole Bibi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JK AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMFARIJI SALVA RWEYEMAMU NA FAMILIA YAKE KWA MSIBA WA PRIVATE BRIAN

Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ofisi ya Rais Ikulu Bwana Salva Rweyemamu Kinondoni jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye Private Brian Salva Rweyemamu kilichotokea jana katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA WA PRIVATE BRIAN SALVA RWEYEMAMU

Private Brian Salvatory Rweyemamu
Bwana Salvatory Rweyemamu wa Kinondoni Dar es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mpendwa Private Brian Salvatory Rweyemamu aliyefariki alfajiri ya kuamkia  tarehe 15 Mei,2014 katika hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam alipokuwa akitibiwa.
Mipango ya mazishi ambayo yanatarajiwa kufanyika Jumamosi inafanyika. Msiba uko  nyumbani kwa Bwana Salvatory Rweyemamu Kinondoni jirani na Vijana Social Hall ama Mango Garden, jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

MAZISHI YA PRIVATE BRIAN SALVA RWEYEMAMU

Mkurugenzi wa Mawasiliano Ofisi ya Rais Ikulu Bw. Salva Rweyemamu na mkewe Mama Isabella Salva Rweyemamu wakijiandaa kuweka shada la maua wakati wa mazishi ya mtoto wao Private Brian Salva Rweyemamu yaliyofanyika jioni ya leo kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam. Wazazi wakiweka shada lao la maua Majonzi makubwa Dada wa marehemu na shada lao maalumu kwa kaka yao Dada wakiweka shada lao Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiweka mashada yao Waziri wa Mambo ya Nje na...

 

11 years ago

Michuzi

SHUKRANI: PRIVATE BRIAN SALVA RWEYEMAMU

PRIVATE BRIAN SALVA RWEYEMAMU

27.12.1987-15.05.2014

Familia ya Bwana Salva Rweyemamu na Bibi Isabella Kafumba Rweyemamu wa Kinondoni, Dar Es Salaam inayo heshima kubwa kutoa shukrani za dhati kabisa kwa ndugu, Jamaa na marafiki ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba, mazishi na hatimaye matanga ya mtoto wao mpendwa, Brian Salva Rweyemamu aliyefariki dunia alfajiri ya Alhamisi ya Mei 15 kwenye Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Private Brian Salva Rweyemamu azikwa jijini Dar

salva1

 Mkurugenzi wa Mawasiliano Ofisi ya Rais Bw. Salva Rweyemamu na mkewe Isabella wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mtoto wao Private Brian Salva Rweyemamu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam jana Mei 17, 2014.

salva2

salva3

Dada wa Marehemu Private Brian Salva Rweyemamu wakiweka shada la maua wakati wa mazishi katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.

salva4

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salva Kikwete wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Private Brian Salva Rweyemamuwakati...

 

11 years ago

Michuzi

RATIBA YA MAZISHI YA PRIVATE BRIAN SALVA RWEYEMAMU, NA WASIFU WAKE

TAREHE 17.05.2014


SAA      1.00  ASUBUHI CHAI


SAA 4.00-5.00  CHAKULA CHA MCHANA


SAA 5.00-6.00 KUAGA MWILI


SAA 6.00-7.00 MISA KATIKA KANISA KATOLIKI MWANANYAMALA


SAA 10.00 SHUGHULI ZA MAZISHI MAKABURI YA KINONDONI
--------------------------------------------------------------- WASIFU WA PRIVATE  BRIAN SALVA RWEYEMAMU
Rwechungura Brian Salva Rweyemamu, aliyefariki dunia alfajiri ya juzi, Alhamisi, Mei 15, 2014 ni mtoto wa kwanza wa Salva Rweyemamu na Isabella Kafumba Rweyemamu. Alizaliwa...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AMFARIJI JAJI WARIOBA KWA KUFIWA NA MKWE WAKE

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha kumbukumbu alipokwenda kuhani msiba wa mama mkwe  wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (aliyesimama pembeni) ,Marehemu Hedwig Laurent Ojjik,    Oysterbay jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mama mkwe  wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba,Marehemu Hedwig Laurent Ojjik, Oysterbay jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014  Rais Jakaya Mrisho...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu kwa kufiwa na baba yake

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Marehemu John Edward Mchechu ambaye ni baba wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) Bwana Nehemia Mchechu. Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa Mkurugenzi huyo Mbezi Beach jana kumpa pole kufuatia kifo cha Baba yake aliyekuwa anaugua ugonjwa wa kiharusi.Kulia aliyesimama ni Mtoto wa Marehemu Bwana Nehemia Mchechu.Rais  Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akiifariji familia ya marehemu John Edward Mchechu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani