Kikwete amfariji Mama Nyerere
RAIS Jakayao Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9, 2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Mama Maria Nyerere akerwa na wanasiasa wanaomkejeli Kikwete
FAMILIA ya baba wa Taifa, Hayati mwalimu Julius Nyerere, imetoa pole kwa Rais Jakaya Kikwete, kutokana na kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Taarifa iliyotolewa jana na kusainiwa na mbunge wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/---6koVBb6Ag/Vg78xaND9zI/AAAAAAAH8c4/KvPaO1HsDDw/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA SHULE YA SEKONDARI J.K.NYERERE HUKO TARIME
.
Mama Salma Kikwete akitoa hotua ya uzinduzi rasmi wa Shule ya Sekondari ya J.K.Nyerere katika Kijiji cha Myamwaga kilichoko Mkoani Mara.
Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa Mkoa wa Mara na wale wa Wilaya ya Tarime na wahisani waliojenga Shule ya J.K. Nyerere kukata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Shule hiyo iliyoko katika Kijiji cha Nyamwaga.
Mama Salma Kikwete baada ya kukata utepe hapa anakiondoa kitambaa kukamilisha sherehe ya uzinduzi rasmi wa shule hiyo.
Mke wa...
![](http://3.bp.blogspot.com/---6koVBb6Ag/Vg78xaND9zI/AAAAAAAH8c4/KvPaO1HsDDw/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DdJSTSuSKeg/Vg78xhxmfxI/AAAAAAAH8cg/Z7ffErWJ-sw/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_yM28meTy_A/Vg78xw-9gFI/AAAAAAAH8c0/7bLFy2AcauI/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXE_J_dT464/Vg78yKXLKjI/AAAAAAAH8cw/PvNZRWXi6cw/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
11 years ago
GPLMH. LOWASSA AMFARIJI MZEE MAKAMBA ALIEFIWA NA MAMA YAKE MZAZI
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akimsikiliza Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM,Mzee Yusuph Makamba (wa pili kushoto) wakati alipokuwa akimtambulisha dada zake,wakati Mh Lowassa alipokwenda kumpa pole Mzee Makamba aliepatwa na msiba wa kufiwa na mama yake mzazi huko kijijini kwake Maezangula wilaya ya Korogwe,Mkoani Tanga jana.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh....
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE HUKO MSASAN
10 years ago
VijimamboRais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu
10 years ago
MichuziDKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MSAZI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu kwa kufiwa na baba yake
![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3bnvT7nf1GM/VbHUNHvl7XI/AAAAAAAHrak/dxnt2lkl0gw/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania