Mh. Lowassa amfariji mzee Ndejembi,kwa kufiwa na mjukuu wake
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na mdogo wa marehemu Betty Ndejembi, Aisha Ndejembi aliyeuawa wiki mbili zilizopita jijini Dar es salaam.Pembeni ni Mzee Pancras Ndejembi na Mama Ndejembi ambao marehemu alikuwa mjukuu wao.Mh Lowassa alikwenda nyumbani kwa mwanasiasa huyo mkongwe eneo la Uzunguni mjini Dodoma kumpa pole ya kufiwa na mjukuu wake huyo.
Mzee Ndejembi akimuelezea Mh Lowassa mkasa mzima wa kifo Cha mjukuu wake, Betty Ndejembi aliyeuawa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AMFARIJI JAJI WARIOBA KWA KUFIWA NA MKWE WAKE



11 years ago
Michuzi17 May
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu kwa kufiwa na baba yake


10 years ago
MichuziDKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MSAZI
11 years ago
GPLMH. LOWASSA AMFARIJI MZEE MAKAMBA ALIEFIWA NA MAMA YAKE MZAZI
10 years ago
GPL
MZEE MAJUTO AFUNGUKA KUOA MJUKUU WAKE!
10 years ago
GPL
MZEE MAJUTO ADAIWA KUZAMA KWENYE PENZI LA MJUKUU WAKE
10 years ago
Vijimambo16 Feb
anzania Bloggers Network Wamfariji Mzee Kitime kwa Kufiwa

