Abood awaondoa hofu wakazi wa CCT
Mbunge wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulazizi Abood amewatoa hofu ya kubomolewa nyumba zao wakazi wa Mtaa wa CCT, Manispaa ya Morogoro baada ya nyumba 15 za mtaa huo kubomelewa kwa makosa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Feb
Sadifa awaondoa hofu CCM sifa za mgombea urais
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamehakikishiwa kuwa Kamati Kuu ya chama hicho itateua mgombea urais mwenye sifa zinazostahili na anayekubalika kwa wananchi na haitakata jina la mgombea bila sababu za msingi.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Wakazi Kigamboni waondolewa hofu
WIZARA ya Ujenzi imewatoa hofu wananchi wanaotumia vivuko vya Magogoni na Kigamboni kuwa hitilafu iliyotokea juzi ya kukatika kwa mlango wa kivuko ni ya kiufundi. Akizungumza na Tanzania Daima, Ofisa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Wakazi Babati na hofu magonjwa ya matumbo
HALI ya usafi katika maeneo kadhaa mjini Babati mkoani Manyara si ya kuridhisha kutokana na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na baadhi ya wakazi wake. Wakazi hawa hutupa takataka ovyo kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Wakazi Missenyi na hofu ya mradi mpya wa maji
“NASHANGAA kitendo kilichofanywa na Halmashauri ya Missenyi kuingilia kati mradi wa maji wa wananchi ulioanza miaka 42 iliyopita.” Hivyo ndivyo anavyosema Patricia Edward ambaye ni miongoni mwa wakazi wa Kata...
11 years ago
GPLMVUA ZAANZA KUWAPA HOFU WAKAZI WA JIJI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mAHYQtHlLj4SQ0ROS6jZ0c7H9YV7BPyWkHo-KCOtybZIPXyyAzXfeHkgPpQYRle7XaAs62chnre2nfsEjH0rVJtImOOW7qVT/Kamanda_kova.jpg)
PANYA ROAD WALIVYOTIA HOFU WAKAZI DAR
9 years ago
StarTV21 Aug
Baadhi ya wakazi Kigoma waingiwa na hofu ongezeko la maambukizi ya VVU.
Licha ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi kitaifa kuelezwa kudhibitiwa, hofu imetanda kwa baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kigoma baada ya kutolewa kwa takwimu za ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo mkoni humo hivi karibuni.
Kitaifa maambukizi ya Virusi vya ukimwi yanaelezwa kupungua kutoka asilimia 7.5 hadi asilimia 5.1 wakati mkoani Kigoma ongezeko limekuwa kutoka asilimia 1.8 kwenda asilimia 3.5 hatua inayowafanya wadau mbalimbali na serikali kuanza kujipanga kimkakati kupunguza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e9F1P5l92QI/U0o_1CzwhYI/AAAAAAAACTQ/-T-ikpVF414/s72-c/2014-04-13+08.52.50.jpg)
HOFU YA KUTOKEA MAFURIKO,WAKAZI WA KATA YA MABOGINI-KILIMANJARO WAITANA MSARAGAMBO KUZIBA MAPITIO YA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e9F1P5l92QI/U0o_1CzwhYI/AAAAAAAACTQ/-T-ikpVF414/s1600/2014-04-13+08.52.50.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_75-CgP1jKQ/U0o-Y-DWTsI/AAAAAAAACSQ/8yAnQLOCt6U/s1600/2014-04-13+08.39.23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MzwnQfUfbPY/U0o-lCQVsXI/AAAAAAAACSY/IknDFLqgZNE/s1600/2014-04-13+08.39.50.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JhOyUWX4lfI/U0o-tTgFapI/AAAAAAAACSg/kQC0f-tELIE/s1600/2014-04-13+08.41.00.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m570eEfql5g/U0o_HpblbwI/AAAAAAAACSw/liqW0rOaHWQ/s1600/2014-04-13+08.41.35.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fZIpjmG5sQY/U0o_TI_uDTI/AAAAAAAACS4/g0-vwN9mnpc/s1600/2014-04-13+08.48.32.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sr4J4G-zmjA/U0o_oUCpkRI/AAAAAAAACTI/X65l87Ap9TE/s1600/2014-04-13+08.48.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_z74GyTppZM/U0o_lG_FkCI/AAAAAAAACTA/Xe0_yBDp9i0/s1600/2014-04-13+08.49.14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uejo9W5l2KY/U0pABSHPdJI/AAAAAAAACTY/VpjjRxQ_wTg/s1600/2014-04-13+09.07.46.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Nov
CCT yaombwa kutatua mgogoro Moravian
UONGOZI wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini Magharibi umeamua kukutana na Kamati Teule ya Usuluhishi wa Migogoro ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kuomba iingilie kati kufanya usuluhishi wa mgogoro unaoendelea kukabili kanisa hilo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10