Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baadhi ya wakazi Kigoma waingiwa na hofu ongezeko la maambukizi ya VVU.

Licha ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi kitaifa kuelezwa kudhibitiwa, hofu imetanda kwa   baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kigoma baada ya kutolewa kwa takwimu za ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo mkoni humo hivi karibuni.

Kitaifa maambukizi ya Virusi vya ukimwi yanaelezwa kupungua kutoka asilimia 7.5 hadi asilimia 5.1 wakati mkoani Kigoma ongezeko limekuwa kutoka asilimia 1.8 kwenda asilimia 3.5 hatua inayowafanya wadau mbalimbali na serikali kuanza kujipanga kimkakati kupunguza...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma

WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za ongezeko la VVU Rukwa yatajwa

Kasi ya ongezeko la wageni wanaoingia na kufanya shughuli za kiuchumi mkoani Rukwa imetajwa kwamba ndiyo kiini cha kushamiri kwa biashara ya ngono, hivyo kusababisha ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi VVU yapungua

MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi (VVU), kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kwa asilimia 90. Imeelezwa. Hayo yalisemwa na Meneja wa shirika la EGPAF Mkoa wa Tabora, Dk. Alphaxard...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU yapungua

TANZANIA imefanikiwa kupunguza viwango vya maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kutoka asilimia 26 mwaka 2009 hadi kufikia asilimia 15 mwaka 2012. Hayo...

 

10 years ago

Mwananchi

KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU.

Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), imeboresha hali ya vitendea kazi katika sehemu ambazo ni hatarishi zaidi ili kulinda watendaji wake dhidi ya maambukizi ya vvu yanayoweza kutokana na mazingira ya kazi

 

11 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya VVU yaongezeka migodini

Takwimu za maambukizi ya virusi vya Ukimwi, zimeongezeka katika maeneo yanayozunguka migodi ukilinganisha na maeneo mengine ya nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tohara inapunguza maambukizi ya VVU

TAFITI kutoka nchi nyingi duniani zimebaini kwamba tohara kwa wanaume inapunguza maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa asilimia 60 kwa wanaume na asilimia 44 kwa wanawake. Pia imebaini kwamba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU Katavi yaongezeka

KIWANGO cha maambukizi  ya  virusi vya ukimwi (VVU) mkoani Katavi,  yameongezeka  na kufikia  asilimia 5.9 ikilinganishwa  na asilimia 5.1 ya maambukizi ya VVU kitaifa. Taarifa hiyo ilitolewa mjini hapa jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU yaongezeka Moshi

MAAMBUKIZI ya virusi vya ukimwi (VVU) katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro yameongezeka mara dufu kutoka asilimia 1.2 mwaka 2012 hadi asilimia 2.1 mwaka 2013. Takwimu hizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani