Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sababu za ongezeko la VVU Rukwa yatajwa

Kasi ya ongezeko la wageni wanaoingia na kufanya shughuli za kiuchumi mkoani Rukwa imetajwa kwamba ndiyo kiini cha kushamiri kwa biashara ya ngono, hivyo kusababisha ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Tanzania yatajwa kuwa na ongezeko la wagonjwa ya kisukari

Tanzania yatajwa kuwa nchi ya 8 kati ya nchi kumi Barani Afrika zinazoongoza kwa wagonjwa wa Kisukari, kwasababu ya  ongezeko la wa watu wenye kisukari kadri siku zinavyokwenda katika maeneo mbalimbali ya nchi.

Kutokana na tafiti za Kisukari za mwaka 2012, zinaonyesha kuwa hadi kufikia mwaka 2035 idadi ya wagonjwa wa kisukari inatarajiawa kufikia million 592 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutozingatia kanuni za afya.

Wakati Tanzania ikitarajia kuadhimisha siku ya Kisukari Duniani,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma

WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...

 

10 years ago

StarTV

Baadhi ya wakazi Kigoma waingiwa na hofu ongezeko la maambukizi ya VVU.

Licha ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi kitaifa kuelezwa kudhibitiwa, hofu imetanda kwa   baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kigoma baada ya kutolewa kwa takwimu za ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo mkoni humo hivi karibuni.

Kitaifa maambukizi ya Virusi vya ukimwi yanaelezwa kupungua kutoka asilimia 7.5 hadi asilimia 5.1 wakati mkoani Kigoma ongezeko limekuwa kutoka asilimia 1.8 kwenda asilimia 3.5 hatua inayowafanya wadau mbalimbali na serikali kuanza kujipanga kimkakati kupunguza...

 

9 years ago

Mwananchi

Sababu kipigo cha Cheka yatajwa

Kipigo alichopewa bondia Francis Cheka kimetafsiliwa kwa mitazamo tofauti na baadhi ya wadau wa ngumi za kulipwa huku baadhi wakieleza chanzo kilichomnyima Cheka ushindi kwenye pambano hilo la uzani wa Suiper middle lililofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu kifo cha Mgimwa yatajwa

>Wakati mwili wa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa ukitarajiwa kuzikwa leo, Serikali imesema kilichosababisha  kifo chake ni ugonjwa wa figo.

 

10 years ago

Habarileo

Sababu ya kukwama reli Arusha-Musoma yatajwa

Waziri wa Uchukuzi, Samuel SittaUGUNDUZI wa madini ya red nickel pamoja na kilometa 13 zinazohitaji daraja katika Ziwa Victoria, ni miongoni mwa mambo yaliyochelewesha ujenzi wa reli mpya ya kutoka Arusha hadi Musoma, imefahamika.

 

11 years ago

Habarileo

Rukwa walenga kushusha maambukizi VVU hadi 2%

SHIRIKA lisilo la kiserikali Resource Oriented Development Initiative (RODI) limedhamiri kusaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) mkoani Rukwa kutoka asilimia 6.2 ya sasa hadi kufikia asilimia 2.0 ifikapo 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Ongezeko la Ukimwi Morogoro na sababu zake

Manispaa ya Morogoro ni moja ya maeneo ambayo yameathiriwa na Ukimwi ambao kichocheo chake kikubwa ni mwingiliano wa kibiashara yakiwamo magari makubwa kama malori ambayo huegeshwa mjini humo likiwamo eneo maarufu la Itigi.

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA NKASI AZINDUA HUDUMA YA OPTION B PLUS MKOANI RUKWA (TIBA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO

Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Iddi Hassan Kimanta kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi huduma ya Option B Plus Mkoani Rukwa jana tarehe 07 Juni, 2014 katika Kijiji cha Tamasenga Wilayani Sumbawanga. Huduma hiyo ina lengo la kutoa tiba ya kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto mchanga. Kaulimbiu ya huduma hiyo ikiwa "Amka Sasa Tokomeza VVU kwa Watoto, Kama mjamzito Pima VVU kwa maisha Bora,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani