Sababu za ongezeko la VVU Rukwa yatajwa
Kasi ya ongezeko la wageni wanaoingia na kufanya shughuli za kiuchumi mkoani Rukwa imetajwa kwamba ndiyo kiini cha kushamiri kwa biashara ya ngono, hivyo kusababisha ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV14 Nov
Tanzania yatajwa kuwa na ongezeko la wagonjwa ya kisukari
Tanzania yatajwa kuwa nchi ya 8 kati ya nchi kumi Barani Afrika zinazoongoza kwa wagonjwa wa Kisukari, kwasababu ya ongezeko la wa watu wenye kisukari kadri siku zinavyokwenda katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Kutokana na tafiti za Kisukari za mwaka 2012, zinaonyesha kuwa hadi kufikia mwaka 2035 idadi ya wagonjwa wa kisukari inatarajiawa kufikia million 592 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutozingatia kanuni za afya.
Wakati Tanzania ikitarajia kuadhimisha siku ya Kisukari Duniani,...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma
WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...
10 years ago
StarTV21 Aug
Baadhi ya wakazi Kigoma waingiwa na hofu ongezeko la maambukizi ya VVU.
Licha ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi kitaifa kuelezwa kudhibitiwa, hofu imetanda kwa baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kigoma baada ya kutolewa kwa takwimu za ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo mkoni humo hivi karibuni.
Kitaifa maambukizi ya Virusi vya ukimwi yanaelezwa kupungua kutoka asilimia 7.5 hadi asilimia 5.1 wakati mkoani Kigoma ongezeko limekuwa kutoka asilimia 1.8 kwenda asilimia 3.5 hatua inayowafanya wadau mbalimbali na serikali kuanza kujipanga kimkakati kupunguza...
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Sababu kipigo cha Cheka yatajwa
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Sababu kifo cha Mgimwa yatajwa
10 years ago
Habarileo05 Jun
Sababu ya kukwama reli Arusha-Musoma yatajwa
UGUNDUZI wa madini ya red nickel pamoja na kilometa 13 zinazohitaji daraja katika Ziwa Victoria, ni miongoni mwa mambo yaliyochelewesha ujenzi wa reli mpya ya kutoka Arusha hadi Musoma, imefahamika.
11 years ago
Habarileo08 Jun
Rukwa walenga kushusha maambukizi VVU hadi 2%
SHIRIKA lisilo la kiserikali Resource Oriented Development Initiative (RODI) limedhamiri kusaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) mkoani Rukwa kutoka asilimia 6.2 ya sasa hadi kufikia asilimia 2.0 ifikapo 2015.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Ongezeko la Ukimwi Morogoro na sababu zake
11 years ago
Michuzi
MKUU WA WILAYA YA NKASI AZINDUA HUDUMA YA OPTION B PLUS MKOANI RUKWA (TIBA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO
