Ongezeko la Ukimwi Morogoro na sababu zake
Manispaa ya Morogoro ni moja ya maeneo ambayo yameathiriwa na Ukimwi ambao kichocheo chake kikubwa ni mwingiliano wa kibiashara yakiwamo magari makubwa kama malori ambayo huegeshwa mjini humo likiwamo eneo maarufu la Itigi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Sababu za ongezeko la VVU Rukwa yatajwa
Kasi ya ongezeko la wageni wanaoingia na kufanya shughuli za kiuchumi mkoani Rukwa imetajwa kwamba ndiyo kiini cha kushamiri kwa biashara ya ngono, hivyo kusababisha ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Sababu 10 zinazotia moyo dawa mpya ya Ukimwi
Wiki hii imekuwa na habari njema na ya faraja kwa dunia katika kupambana na Virusi Vya Ukimwi (VVU).
9 years ago
Bongo513 Sep
Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika
Facebook kwa mara ya kwanza barani Afrika wamefungua ofisi ili kuweza kuongeza ufanisi kibiashara na kwa wateja wao barani Afrika ukianzia nchini Afrika ya Kusini. Facebook ikiwa imemteua msimamizi wa bara la Afrika, Nunu Ntshingila, ofisi hiyo ikiwa Melrose Arch, Johannesburg. Watu karibu ya milioni 7.1 wanatumia mtandao wa Facebook nchini Nigeria zaidi ya Afrika […]
9 years ago
GPL30 Sep
5 years ago
CCM Blog31 May
MAANDAMANO YA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI, SABABU NA HATARI ZAKE
![Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani, sababu na hatari zake](https://media.parstoday.com/image/4bv93bd9a04d931nvue_800C450.jpg)
9 years ago
GPL30 Sep
10 years ago
Bongo512 Mar
Matonya ataja sababu za kwanini ngoma zake hazihit kama zamani
Matonya amesema sababu kubwa iliyomfanya apotee kwenye muziki na nyimbo zake za sasa kutofanya vyema kama mwanzo ni kukosa uongozi mzuri wa kumsimamia. Matonya ameambia Bongo5 kuwa muziki wa sasa hivi upo tafauti na ule wa zamani uliokuwa hauhitaji mambo mengi kama muziki wa sasa. “Tatizo kubwa kadri siku zinapozidi kwenda wasanii tunazidi kuwa wengi, […]
10 years ago
Bongo530 Oct
Bob Junior atoa sababu ya nyimbo zake za sasa kushindwa kufika mbali
Msanii wa muziki na producer wa Sharobaro Records, Bob Junior amefunguka na kutoa sababu ya kwanini nyimbo zake nyingi za sasa kutokuwa na uhai mrefu kama za mwanzo. Bob Junior Bob Junior aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Oyoyo’ ameiambia Bongo5 kuwa, muziki wake kwa sasa hivi unaharibiwa na mitandao ya kijamii. “Nyimbo nyingi hazi-play sana […]
9 years ago
Bongo519 Oct
Belle 9 ahamishia rasmi makazi yake jijini Dar, azitaja sababu zilizomuhamisha kwao Morogoro
Wasanii wengi wa muziki waliopo Dar wametoka mikoani, na ukijaribu kuwauliza sababu za kuhamia Dar hata kama mikoa wanayotoka kuna studio nyingi za kurekodi pamoja na vituo vya radio, wengi wao hutoa sababu za kuja karibu na connection muhimu za media, studio, na wadau muhimu wa muziki. Upande wa Belle 9 sababu hizo hazikumshawishi kwa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania