Bob Junior atoa sababu ya nyimbo zake za sasa kushindwa kufika mbali
Msanii wa muziki na producer wa Sharobaro Records, Bob Junior amefunguka na kutoa sababu ya kwanini nyimbo zake nyingi za sasa kutokuwa na uhai mrefu kama za mwanzo. Bob Junior Bob Junior aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Oyoyo’ ameiambia Bongo5 kuwa, muziki wake kwa sasa hivi unaharibiwa na mitandao ya kijamii. “Nyimbo nyingi hazi-play sana […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Feb
Diamond atoa sababu za kushindwa kuhudhuria msiba wa baba yake Dully, Ebby Sykes
9 years ago
GPL30 Sep
9 years ago
GPL30 Sep
10 years ago
Bongo514 Nov
Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wRjaqNY0Xsk/VUzQdlYeZXI/AAAAAAABN6I/3MMG6aAOONw/s72-c/RAY.jpg)
RAY KIGOSI ATOA SABABU INAYOMFANYA ASHINDWE KUOA HADI SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-wRjaqNY0Xsk/VUzQdlYeZXI/AAAAAAABN6I/3MMG6aAOONw/s400/RAY.jpg)
Akizungumza na gazeti la Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Bob Junior ajipanga upya
BAADA ya kimya cha muda mrefu, mkali wa muziki wa kizazi kipya na muandaaji wa muziki huo, Rahim Rummy ‘Bob Junior’, amesema anatarajia kurudi upya akiwa na kazi yake ya ‘Bolingo’. Akizungumza Dar es Salaam jana,...
11 years ago
Bongo514 Jul
New Music: Bob Junior — Bolingo
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Bob Junior: Tutaonana baada ya uchaguzi
NA THERESIA GASPER,
PRODYUZA na msanii wa Bongo Fleva, Raheem Rummy ‘Bob Junior’, amewataka mashabiki wake waonane baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 kwa kuwa sasa amebanwa na shughuli za uhamasishaji wa upigaji wa kura katika kampeni za wagombea urais.
“Sina mpango wa kuachia wimbo wala albamu yangu kwa sasa, lakini baada ya uchaguzi nitafanya hivyo kwa kuwa nitakuwa na muda mwingi wa kukaa studio na kuandaa muziki mzuri ambao kwa sasa sipati muda huo,” alisema
Bob Junior mkali wa wimbo wa...