Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi
Geez Mabovu amefariki katika kipindi ambacho kwa asilimia kubwa alikuwa amepotea kwenye masikio ya wengi. Na mara nyingi sababu za kupotea kwenye masikio ya watu ni kutochezwa kwa nyimbo za msanii katika vituo vya redio. Kwahiyo haimaanishi kuwa kupotea kwa msanii kwenye masikio ya watu kunatokana na ukimya wake mwenyewe bali ni kutopata nafasi ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Dec
Tutawalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao redio na kwenye TV – Ruge

Mmoja kati ya wadau wakubwa wa muziki hapa nchini na Mkurugenzi wa Uzalishaji na vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema ujio wa kampuni ya kusimamia hakimiliki za kazi za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) wakishirikiana na Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA), utasaidia vituo vya redio na runinga kushindwa kukwepa kulipa mirahaba inayotokana na upigwaji wa nyimbo za wasanii.
Akizungumza na CMEA hivi karibuni, Ruge alisema mfumo huo mpya utawasaidia...
11 years ago
Bongo510 Oct
Kituo cha redio chafukuza wafanyakazi wote 47 na kuamua kucheza nyimbo za Beyonce 24/7
10 years ago
Bongo512 Nov
Breaking: Geez Mabovu afariki dunia
10 years ago
GPL
MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA
10 years ago
CloudsFM14 Nov
10 years ago
Bongo513 Nov
Marehemu Geez Mabovu azikwa Mlolo, Iringa
11 years ago
GPL16 Dec
10 years ago
Bongo513 Nov
Weusi waahirisha show ya Mbeya kufuatia kifo cha Geez Mabovu
10 years ago
Bongo513 Nov
Msiba wa Geez Mabovu: Young Killer aahirisha kuachia video ya 13 leo