Kituo cha redio chafukuza wafanyakazi wote 47 na kuamua kucheza nyimbo za Beyonce 24/7
Kituo cha redio cha huko Houston, Marekani kimewafukuza wafanyakazi wake wote 47 na kuamua kucheza nyimbo za Beyonce 24/7. News92 ilikuwa ni redio kwaajili ya habari peke yake. Uamuzi wa kubadilisha malengo ya kituo hicho umetokana na kituo hicho kukosa wasikilizaji. Uongozi unaamini kuwa kwa kupiga nyimbo za Beyonce wasikilizaji watavutiwa na kuiokoa redio hiyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Dec
Tutawalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao redio na kwenye TV – Ruge
![Ruge](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ruge-300x194.jpg)
Mmoja kati ya wadau wakubwa wa muziki hapa nchini na Mkurugenzi wa Uzalishaji na vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema ujio wa kampuni ya kusimamia hakimiliki za kazi za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) wakishirikiana na Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA), utasaidia vituo vya redio na runinga kushindwa kukwepa kulipa mirahaba inayotokana na upigwaji wa nyimbo za wasanii.
Akizungumza na CMEA hivi karibuni, Ruge alisema mfumo huo mpya utawasaidia...
10 years ago
Bongo514 Nov
Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi
9 years ago
Bongo503 Dec
Kituo cha redio cha Hits FM, Zanzibar chavamiwa na kuchomwa moto
![Coke](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Coke-300x194.jpg)
Kituo cha redio cha Hits FM cha visiwani Zanzibar, kimevamiwa na watu wasiojulikana na kuchomwa moto.
Studio za Hits FM baada ya kuchomwa moto
Naibu Kamishna wa Polisi visiwani humo, Salim Msangi ameiambia Radio One kuwa tukio hilo lilitokea saa saba na dakika 40 usiku.
Amesema watu hao waliofika kwenye studio hizi walimdhibiti mtangazaji huyo na kumziba mdomo na macho na kisha kutumia mito na makochi yalikuwepo hapo kukichoma.
Mtangazaji huyo aliyekuwa peke yake, alisema watu hao walikuwa...
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Kituo cha Redio chachomwa Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
WATU wasiojulikana wakiwa na silaha wamevamia studio za kituo cha Radio Hits FM kilichopo eneo la Migombani mjini Unguja na kukichoma moto kwa kutumia mafuta yanayosadikiwa kuwa ni petroli.
Akizungumza jana mjini Unguja, msemaji wa kituo hicho, Juma Ayoub Amohamed, alisema tukio hilo lilitokea saa 7:30 usiku wa kuamkia jana ambapo zaidi ya watu 15 walivamia studio hiyo na kufanikiwa kuchoma moto.
Alisema hadi sasa bado hawajajua nini chanzo cha kufanyiwa hivyo, na...
10 years ago
Habarileo05 Jan
Kituo cha redio chazinduliwa Mkanyageni
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema itaendelea kuruhusu kuanzishwa kwa redio za kijamii, kutokana na umuhimu wake katika kuhimiza maendeleo na kutumika kama daraja kati ya wananchi na serikali yao.
10 years ago
Dewji Blog08 May
Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMTInvMETOk/VUw59V-lecI/AAAAAAAAQCE/vm-0zsAz7sw/s640/DU7C5232.jpg)
Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Nyani wazima kituo cha redio Zimbabwe
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kituo cha redio kimechomwa moto Zanzibar
11 years ago
Michuzi05 Aug
KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA VIWANJA VYA 8 8 JIJINI ARUSHA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ey6_1jC1e0Hbf1AuiW0N08rsgMhP-WQd0GnzyCNB2vdDbLTowzua9RXkoeCAdXcFM3F9DFny0fvrFuoDIubrF_SCVyXEk_jiaxgtIMLES_SaEJ92TWyIfKVdodKLpVRJrC_DTgsP0lvyENThUQuORmCADqmQbmFllT_4CA=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10533906_787774157941732_6171184658367640784_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/bReVNKQ7i5ZtX9GfB0zy-_xoNdWkDORukQjCK5lpux0GULVQlqcUcpVix8AptF8Rq8UOrLfbZbGAF1uEIih0Vl0BNB_uORjlfSRGtrbpDJZe7nKSJNwP85VdcHbQ-tK0b0gvPiRmc4xlpCNnIc7_tpsEfUmOdVvVKbhtMg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10525863_787774277941720_1649986858832343868_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/rtgJMu8No2TzgTR8z_tpeSfOsO2l_a05Up896Ltx6THdjo122MNkXCWZPGMugS8B0FAHxWJXOCfZY32PhTwjgPc41K16rJO9qsia6Rpzh-9fytYZhzTh_x65_IlcRfvlZ90JQgfwDYD1aeucng3u6olF6RovFaGLEc_7ctmF16ehVDalnHkn5DLk-JdwPuFM9rjc-5JUbrXdblLue62vJkp7_qiHowLCvwjvt4ZAfw=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10348594_787773937941754_1552291046139374602_n.jpg?oh=fc957a7722bfa177821ffde96c402281&oe=543AAD2F)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oKpWthSsERUkvLc8GWkkzEdsPtLlhR35LzaV8CHhbeVD0jLAQSb4XDQ2Ld6dlARYDOE5mCsAPyws8r4KOqPMCx1k86sMjVb5FHTQaskh1a9GG3kkD5hLs27zOaprlbpnAawWhgYsIgbtZ8pbAbAan6ro-Ut1Vxjo2o7BaQOKsm5cy2jNgNfGf_575T6NsDs=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/t1.0-9/s526x296/10455356_787773727941775_2801812013228693007_n.jpg)