Nyani wazima kituo cha redio Zimbabwe
Nyani wasumbufu katika kijiji cha Zvishane mjini Zimbabwe wamedaiwa kukizama kituo kimoja cha cha redio.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Dec
Kituo cha redio cha Hits FM, Zanzibar chavamiwa na kuchomwa moto
Kituo cha redio cha Hits FM cha visiwani Zanzibar, kimevamiwa na watu wasiojulikana na kuchomwa moto.
Studio za Hits FM baada ya kuchomwa moto
Naibu Kamishna wa Polisi visiwani humo, Salim Msangi ameiambia Radio One kuwa tukio hilo lilitokea saa saba na dakika 40 usiku.
Amesema watu hao waliofika kwenye studio hizi walimdhibiti mtangazaji huyo na kumziba mdomo na macho na kisha kutumia mito na makochi yalikuwepo hapo kukichoma.
Mtangazaji huyo aliyekuwa peke yake, alisema watu hao walikuwa...
10 years ago
Habarileo05 Jan
Kituo cha redio chazinduliwa Mkanyageni
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema itaendelea kuruhusu kuanzishwa kwa redio za kijamii, kutokana na umuhimu wake katika kuhimiza maendeleo na kutumika kama daraja kati ya wananchi na serikali yao.
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Kituo cha Redio chachomwa Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
WATU wasiojulikana wakiwa na silaha wamevamia studio za kituo cha Radio Hits FM kilichopo eneo la Migombani mjini Unguja na kukichoma moto kwa kutumia mafuta yanayosadikiwa kuwa ni petroli.
Akizungumza jana mjini Unguja, msemaji wa kituo hicho, Juma Ayoub Amohamed, alisema tukio hilo lilitokea saa 7:30 usiku wa kuamkia jana ambapo zaidi ya watu 15 walivamia studio hiyo na kufanikiwa kuchoma moto.
Alisema hadi sasa bado hawajajua nini chanzo cha kufanyiwa hivyo, na...
10 years ago
Dewji Blog08 May
Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini
Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kituo cha redio kimechomwa moto Zanzibar
11 years ago
Michuzi05 Aug
KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA VIWANJA VYA 8 8 JIJINI ARUSHA
Katikati niMeneja masoko wa Tan Communication Media inayo miliki kituo cha Radio5 Sarah Keiya kushoto mtangazaji wa kituo hicho Godfrey Thomas na kulia ni Dj Ibraah anayesababisha pande hizoDj Ibraah akifanya yake kwenye moja na mbiliKushoto ni Goodluck Kissanga ,Godfrey Thomas watangazaji wa kituo hicho,katikati ni Meneja masoko wa...
10 years ago
Bongo510 Oct
Kituo cha redio chafukuza wafanyakazi wote 47 na kuamua kucheza nyimbo za Beyonce 24/7
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Wadau wapongeza kituo cha Redio 5 kwa kuanzisha kampeni ya ‘Kapu la Pasaka’
Wafanyakazi wa kituo cha Redio 5 cha jijini Arusha wakikatishaa mitaa kumsakata mshindi wa kapu la Pasaka ,eneo hili linafahamika kwa jina la kwa Morombo na ni maarufu kwa uchomaji wa nyama ya mbuzi.
Mshindi maarufu kwa jina la Sule akipokea zawadi katika Kampeni ya Kapu la Pasaka inayoendeshwa na kituo cha Redio 5, baada ya kuwa msikilizaji mzuri wa vipindi mbalimbali vinavyoendeshwa na kituo hicho,kulia ni Ashura Mohamed na Hilda Kinabo watangazaji wa Redio 5 ,Bw.Sule ni kinyozi maarufu...
11 years ago
Michuzi10 Aug
KITUO CHA REDIO 5 CHANYAKUA UBINGWA MAONYESHO YA NANE NANE KANDA YA KASKAZINI