Siku 3 kuomboleza waliozama Ziwa Albert
Serikali ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo imetangaza siku 3 za maombolezi ya wakimbizi waliofariki katika ajali ya boti katika ziwa Albert siku ya Jumamosi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Boti la wakimbizi lazama Ziwa Albert
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Wakimbizi 98 wazama ziwa Albert uganda
10 years ago
BBCSwahili04 Apr
Garissa:Kenya kuomboleza kwa siku tatu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AWdvIC-GNFQ/VIl1dK80knI/AAAAAAAG2gU/WfP-jcK9HuI/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
KATIBU MKUU UVCCM KUAANZA ZIARA YA SIKU 14 KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-AWdvIC-GNFQ/VIl1dK80knI/AAAAAAAG2gU/WfP-jcK9HuI/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Ziara hii ya kikazi ya Katibu Mkuu inalenga kukagua na kuhimiza ujenzi na uimara wa jumuia ya Vijana katika maeneo husika lakini pia kushiriki kampeni zinazoendelea za uchaguzi wa Serikali za...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Katibu Mkuu UVCCM aanza ziara ya siku 14 kanda ya ziwa
Katibu Mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndugu Sixtus Mapunda (pichani) anategemea kufanya ziara ya siku na nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia kesho tarehe 12st Dec 2014.
Ziara hii ya kikazi ya Katibu Mkuu inalenga kukagua na kuhimiza ujenzi na uimara wa jumuia ya Vijana katika maeneo husika lakini pia kushiriki kampeni zinazoendelea za uchaguzi wa...
5 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA -TCRA KANDA YA ZIWA YAADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MTUMIAJI DUNIANI
Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa imeadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani (World Consumer Rights Day) leo Machi 9,2020 kwa kutoa elimu kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Mkoa wa Shinyanga juu ya haki za watumiaji wa Huduma za Mawasiliano.
Akizungumza, Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo alisema TCRA Kanda ya Ziwa imeadhimisha siku hii leo Machi 9,2020 ambapo Kidunia itafanyika Machi 15,2020 kwa kauli mbiu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ulpii6yz8zQ/Uv3a3iwOU-I/AAAAAAAFNFk/MUvXTMWufKo/s72-c/2.jpg)
KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA LAENDELEA LEO KWA SIKU YA PILI JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ulpii6yz8zQ/Uv3a3iwOU-I/AAAAAAAFNFk/MUvXTMWufKo/s1600/2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s72-c/_MG_7954.jpg)
ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU TANO,MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s640/_MG_7954.jpg)
Mgombea Urais kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa Sengerema jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini humo.Katika mkutano huo wa kampeni Dkt Magufuli amezishauri halmashauri nchini kuacha tabia ya kukopa pesa kutoka katika taasisis za kifedha na kulipia fidia za wananchi ambao serikali inataka kutumia maeneo yao kwa ajili ya huduma za kijamii.
Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...