MR IBU MUIGIZAJI MAARUFU ALIYEANZA MAISHA KWA KUUZA KUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qwmbfpYJG3Q/XtaXbN5kP-I/AAAAAAALsXA/QwftzIg5Bxo4LS-2dgHE_xtFaW0n6JkyACLcBGAsYHQ/s72-c/Mr.-Ibu.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ANAFAHAMIKA zaidi kwa jina la "Mr.Ibu" ni John Ikechukwu Okafor mwigizaji na mchekeshaji kutoka nchini Nigeria, Okafor anatajwa kuwa mchekeshaji mashuhuri ndani na nje ya nchi hiyo anayemiliki utajiri mkubwa kupitia sanaa yake.
Okafor alizaliwa Oktoba 17, 1961 katika mji wa Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria, alizaliwa na kukulia huko pamoja na kupata elimu yake ya msingi na sekondari pia an taaluma ya uandishi wa habari aliyoipata katika chuo cha (IMT.) Tangu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Muigizaji atishiwa maisha yake kwa sababu ya kudansi
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Muigizaji maarufu wa filamu Idris Elba atangaza kuambukizwa virusi vya Korona.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtoId19AK*0fB2SvSJ5LNi2PwcqvlrgRMX1DjosmedsL00NYE2pQFECJNsdTDiBxQcSSLTsMT26ACJty2EhQAoe*/BREAKINGNEWS.gif)
LETTIE MATABANE: MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Jaguar; mwanamuziki milionea aliyeanza kwa kuosha magari
9 years ago
Bongo523 Sep
Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari
11 years ago
Michuzi03 Jul
CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI
![](https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-prn1/l/t1.0-9/10305428_808682322488784_8591002334508150821_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1.0-9/10288801_808682345822115_4972440809963697988_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/10302278_808682372488779_7996301001179995890_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc3/t1.0-9/10269436_808682385822111_6025675356935145069_n.jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5SVO7vsdZkA/VVxyuD9KkTI/AAAAAAAC43A/k-2VmIryeBQ/s72-c/Tenbre%2BApp%2BAds.png)
Kwa hili jipya la ‘StarTimes’ mawe yameiva na kuni zimebaki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-5SVO7vsdZkA/VVxyuD9KkTI/AAAAAAAC43A/k-2VmIryeBQ/s320/Tenbre%2BApp%2BAds.png)
Startimes Tanzania, wale magwiji wa dijitali wametuletea watanzania Androi Application ambayo inakuwezesha kufuatilia chaneli uzipendazo huku ikikupa taarifa za vipindi vyako usivikose. Kama hiyo haitoshi, Tenbre itakuwezesha kuchat na watazamaji wengine wa vipindi uvipendavyo, manatazama kipindi kisha...
9 years ago
Mtanzania28 Nov
AMBER ROSE ATEKWA NA MR. IBU
MPENZI wa zamani wa Wiz Khalifa, Amber Rose, ameonekana kuvutiwa na mwigizaji kutoka nchini Nigeria,
John Okafor ‘Mr Ibu’ kutokana na filamu yake ya Sugar Daddy.
Filamu hiyo ya Sugar Daddy imefanya vizuri nchini Nigeria, lakini kwa sasa imevuka mipaka ambapo imefika
nchini Marekani na kumgusa mrembo huyo.
Kupitia Instagram, Amber Rose aliweka picha ya msanii huyo na kudai kwamba ni ‘bonge la msanii’ ambaye
anavutiwa naye.
“Mr Ibu, anafanya vizuri, nimependa kile ambacho amekifanya...