Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI

Mkate uliotayari kwa kuliwa ooohhh asikwambie mtu saafi sana! Chef Issa anashukuru Allah kupata  bahati ya kualikwa na chama cha scout kwenda kuwafundisha vijana mbinu za mapishi wakiwa porini. Dah! waliipenda na kufagilia sana walitengeneza mkate wa kubanika kwa kutumia mti na moto wa kuni.Kundi la vijana wa scout na uongozi wao hapa ni baada ya kuwasha moto tukisubiri upungue na kuni zote zishike moto tuanze kubanika mkate.Chef Issa (kulia) akiwa na vijana wa scoutHuu ndio mkate wenyewe...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KAZI HOTEL VICTORIA MTWARA (KWA CHEF ISSA)

HOTEL VICTORIA MTWARA INATAFUTA MTAALAMU WA MASOKO MWENYE UZOEFU WA KUTOSHA NA ANAEJIAMINI  KISHA TUMA MAOMBI KWA EMAIL HII issa@hotelvictoria.me AMBATANISHA CV YAKO NA PASSPORT SIZE. MSHAHARA MZURI SANA NA MNONO PAMOJA NA MAZINGIRA HURU YA KAZI. MWAMBIE RAFIKI NA NDUGU WACHANGAMKIE FURSA. CHEERS   PIA UKIWA HOTEL VICTORIA MTWARA UNAWEZA KUENJOY HAYA....  
Butter chicken na garlic naan
  Paneer masala na butter naan

Tandoor chicken      Naan bread ya kila ladha mfano chili naan,...

 

10 years ago

Michuzi

Chef Issa aanzisha whatsapp group la Ma-Chef wa Kitanzania popote walipo duniani

Chef Issa ameanzisha group la Whatsapp kwa ajili ya Tanzanian chef's popote duniani ambalo anasema kama wewe ni Chef unaweza jiunga kwa kutuma request mobile No. +46709297384 Lengo likiwa ni kukutana,  kufahamiana,  na kusaidiana kitaaluma. Ma-Chef wote wa Kitanzania mnakaribishwa.

 

11 years ago

GPL

ASHA BARAKA ATOA SOMO VIFO VYA MASTAA UGHAIBUNI!

Na Shani Ramadhani
MKURUGENZI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ amewaasa wasanii wanaofanya kazi za sanaa nje ya nchi wawe na desturi ya kurejea nyumbani mara kwa mara ili wasisahaulike kwa mashabiki wao. Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’. Akizungumza na gazeti katika mazishi ya  msanii...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi atoa somo kwa wanahabari

MWENYEKITI wa Kampuni za IPP Reginald Mengi amewataka waandishi wa habari wa Afrika kuandika habari zinazohusu jamii hasa zile zinazogusa maisha yao halisi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na...

 

10 years ago

Habarileo

JK atoa somo kwa jumuiya ya kimataifa

USHIRIKI wa pamoja wa mataifa mbalimbali katika utatuzi wa matatizo yanayozikumba nchi hizo, ndiyo njia kuu na ya kipekee katika karne ya leo ya kukabiliana na changamoto za maendeleo. Hayo yalisemwa na Rais Jakaya Kikwete juzi katika Chuo Kikuu cha Rutgers, katika mji wa New Jersey, nchini Marekani.

 

11 years ago

GPL

HAPPINESS MAGESE ATOA SOMO KWA WASICHANA

Happines Magese akitoa semina kwa wanafunzi. Wanafunzi wakimsikiliza. Mwilimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mtakuja Beach, Beatrice Mhina nae akisistiza jambo kwenye semina…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani