SOMO LA MAPISHI TOKA KWA CHEF ISSA LEO - MUENDELEZO
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi19 Jul
11 years ago
Michuzi17 Jul
11 years ago
Michuzi03 Jul
CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI
![](https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-prn1/l/t1.0-9/10305428_808682322488784_8591002334508150821_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1.0-9/10288801_808682345822115_4972440809963697988_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/10302278_808682372488779_7996301001179995890_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc3/t1.0-9/10269436_808682385822111_6025675356935145069_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4Kfev1vFN5o/VHjiqB1rr1I/AAAAAAAG0DQ/xOAvEtEbAg0/s72-c/unnamed%2B(1).png)
NEWS FLASH: CHEF ISSA AFANYA MAAJABU KWENYE KOMBE LA DUNIA LA MAPISHI 2014 NCHINI LUXEMBORG
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Kfev1vFN5o/VHjiqB1rr1I/AAAAAAAG0DQ/xOAvEtEbAg0/s1600/unnamed%2B(1).png)
Kushinda kombe la dunia si mchezo katika tasnia yoyote ile nasi hatuna...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-88bgRenlEUc/VYcvlCYc7RI/AAAAAAAHiOk/lkYigOAbjNQ/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
Chef Issa aanzisha whatsapp group la Ma-Chef wa Kitanzania popote walipo duniani
![](http://2.bp.blogspot.com/-88bgRenlEUc/VYcvlCYc7RI/AAAAAAAHiOk/lkYigOAbjNQ/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nfUS9NOTDAU/U1_odFadDRI/AAAAAAAAElg/B8ilCTD7pM8/s72-c/MSOSI+SAFI+(1).jpg)
TANGAZO LA KAZI HOTEL VICTORIA MTWARA (KWA CHEF ISSA)
HOTEL VICTORIA MTWARA INATAFUTA MTAALAMU WA MASOKO MWENYE UZOEFU WA KUTOSHA NA ANAEJIAMINI KISHA TUMA MAOMBI KWA EMAIL HII issa@hotelvictoria.me AMBATANISHA CV YAKO NA PASSPORT SIZE. MSHAHARA MZURI SANA NA MNONO PAMOJA NA MAZINGIRA HURU YA KAZI. MWAMBIE RAFIKI NA NDUGU WACHANGAMKIE FURSA. CHEERS
PIA UKIWA HOTEL VICTORIA MTWARA UNAWEZA KUENJOY HAYA....
Butter chicken na garlic naan
Paneer masala na butter naan
Tandoor chicken
Naan bread ya kila ladha mfano chili naan,...
![](http://3.bp.blogspot.com/-nfUS9NOTDAU/U1_odFadDRI/AAAAAAAAElg/B8ilCTD7pM8/s640/MSOSI+SAFI+(1).jpg)
Butter chicken na garlic naan
![](http://2.bp.blogspot.com/-18SzGXkt67w/U1_ohHW2bcI/AAAAAAAAElo/c85wpaymV-U/s640/MSOSI+SAFI+(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4H2DIjyPKfk/U1_oji1iP_I/AAAAAAAAElw/aaBiYr4QRdQ/s640/MSOSI+SAFI+(3).jpg)
Tandoor chicken
![](http://3.bp.blogspot.com/-m_5wbQ-ethU/U1_onwletgI/AAAAAAAAEl4/y83EuKAUUh8/s640/MSOSI+SAFI+(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lucvmQdQSZc/VHLpSaiHRVI/AAAAAAAGzHs/NCP8c8IQ3RM/s72-c/chef%2Bissa%2Band%2Bmr%2Bwine.jpg)
CHEF ISSA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA JIJINI LUXEMBOURG KWENYE Villeroy & Boch Culinary World Cup 2014 kuanzia leo 24 mpaka 28 november 2014
"NAMSHUKURU MUNGU KWA KUCHAGULIWA KUSHIRIKI KAMA MSIMAMIZI KWENYE WORLD CUP YA WAPISHI INAYOFANYIKA KILA BAADA YA MIAKA 4 NITAPEPERUSHA BENDERA YA NCHI YANGU TANZANIA NI JAMBO LA KUJIVUNIA SANA".
Mpaka sasa Chef Issa Kapande mbali ya kushinda tuzo nyingi tofauti ndani na nje ya nchi katika fani yake ya upishi pia anashikilia rekodi ya kua Chef Mtanzania Msomi na mdogo kuliko wote aliewahi kufungua na kuongoza hotel ya nyota tano ( Certified Executive Chef) akiwa na umri wa miaka 25 tu. Hili...
Mpaka sasa Chef Issa Kapande mbali ya kushinda tuzo nyingi tofauti ndani na nje ya nchi katika fani yake ya upishi pia anashikilia rekodi ya kua Chef Mtanzania Msomi na mdogo kuliko wote aliewahi kufungua na kuongoza hotel ya nyota tano ( Certified Executive Chef) akiwa na umri wa miaka 25 tu. Hili...
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
Mambo yaenda yakiongezeka Chef Issa Kapande, apongezwa na JK
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mtaalamu wa kimataifa wa mambo ya mapishi aishiye Sweden Chef Issa Kapande ambaye mwaka jana alikuwa katika timu ya taifa ya Sweden kwenye mashindano ya kombe la dunia la mapishi walikoibuka na medali ya dhahabu. Chef Issa, ambaye hivi karibuni amefungua mgahawa mkubwa kuliko yote wa Ki Afrika katika Ulaya yote mjini Trolhattan, nje kidogo ya jiji la Stockholm, wenye uwezo wa kuchukua watu 400 kwa wakati mmoja.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania