Muigizaji atishiwa maisha yake kwa sababu ya kudansi
Nermine Sfar muigizaji kutoka nchini Tunisia amesema amepokea vitisho dhidi ya maisha yake kutoka kwa kundi la jihadi baada ya kuanza kupeperusha video za moja kwa moja akicheza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Atishiwa maisha kwa kutaka ubunge
MFANYABIASHARA wa Kahama mjini, Shilinde Samandito, amedai kupatiwa vitisho mbalimbali vya maisha pamoja na biashara yake baada ya kutangaza nia ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kahama. Akizungumza kwenye mkutano...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qwmbfpYJG3Q/XtaXbN5kP-I/AAAAAAALsXA/QwftzIg5Bxo4LS-2dgHE_xtFaW0n6JkyACLcBGAsYHQ/s72-c/Mr.-Ibu.jpg)
MR IBU MUIGIZAJI MAARUFU ALIYEANZA MAISHA KWA KUUZA KUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qwmbfpYJG3Q/XtaXbN5kP-I/AAAAAAALsXA/QwftzIg5Bxo4LS-2dgHE_xtFaW0n6JkyACLcBGAsYHQ/s400/Mr.-Ibu.jpg)
ANAFAHAMIKA zaidi kwa jina la "Mr.Ibu" ni John Ikechukwu Okafor mwigizaji na mchekeshaji kutoka nchini Nigeria, Okafor anatajwa kuwa mchekeshaji mashuhuri ndani na nje ya nchi hiyo anayemiliki utajiri mkubwa kupitia sanaa yake.
Okafor alizaliwa Oktoba 17, 1961 katika mji wa Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria, alizaliwa na kukulia huko pamoja na kupata elimu yake ya msingi na sekondari pia an taaluma ya uandishi wa habari aliyoipata katika chuo cha (IMT.) Tangu...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Aliyemponda Diamond atishiwa maisha
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Masige Bukori ‘Cado Baro’, amesema anazidi kutishiwa maisha kwa kupigiwa simu mara kwa mara, zikimtaka asiende kwenye ukumbi wowote kutumbuiza nyimbo zake. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi22 Aug
KIKONGWE WA MIAKA 76 AAMUA KUJITENGENEZEA JENEZA LAKE MWENYEWE KWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA
Maalbino wanakatwa viungo vyao kwa visingizio vya kupata utajiri kwa watu wasiokuwa na huruma, watoto wadogo wananyimwa haki zao na kuwekwa ndani ya maboksi na wengine...
9 years ago
Bongo523 Sep
Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari
11 years ago
Mwananchi22 Feb
FIGO: Matatizo yake, tishio kwa maisha ya Watanzania
10 years ago
Bongo506 Oct
Jokate awaomba mashabiki wamvumilie kwa kuchelewa kutoa video yake, atoa sababu zilizoichelewesha
9 years ago
Bongo506 Nov
Muigizaji wa Nollywood aeleza kwanini ndoa yake imevunjika na funzo kwetu sisi
![Ini-Edo1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ini-Edo1-300x194.jpg)
Muigizaji wa Nollywood, Ini Edo ameamua kueleza runinga nchini humo sababu za kuvunjika kwa ndoa yake ya miaka mitano na Phillip Ehiagwina wa Marekani.
Muigizaji huyo asiyependa mambo yake yaongelewe sana kwenye mitandao na vyombo vya habari, aliweza kuelezea kwa uwazi mambo anayodhani yalisababisha ndoa yake ya miaka mitano kuvunjika.
Ndoa yake ambayo anasema kwa kiasi kikubwa iliathiriwa na umbali kwakuwa mumewe alikuwa Marekani yeye yupo Naijeria hivyo ukiondoa matatizo waliyokuwa nayo...
11 years ago
Bongo Movies04 Aug
Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 kwenye harusi yake.
Harusi ya Pastor Myamba pengine ndiyo harusi ya star wa Tanzania kuzawadia mali nyingi zaidi ! Myamba amefunga ndoa Zanzibar weend hii huku akizawadia zawadi kibao za mamilioni likiwemo gari na pesa taslim shilingi milioni 250 za kitanzania. Mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo visiwani Zanzibar.