Muigizaji wa Nollywood aeleza kwanini ndoa yake imevunjika na funzo kwetu sisi
Muigizaji wa Nollywood, Ini Edo ameamua kueleza runinga nchini humo sababu za kuvunjika kwa ndoa yake ya miaka mitano na Phillip Ehiagwina wa Marekani.
Muigizaji huyo asiyependa mambo yake yaongelewe sana kwenye mitandao na vyombo vya habari, aliweza kuelezea kwa uwazi mambo anayodhani yalisababisha ndoa yake ya miaka mitano kuvunjika.
Ndoa yake ambayo anasema kwa kiasi kikubwa iliathiriwa na umbali kwakuwa mumewe alikuwa Marekani yeye yupo Naijeria hivyo ukiondoa matatizo waliyokuwa nayo...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Dec
Nisher aeleza kwanini ameamua kuweka wazi mahusiano yake (Picha)
![moz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/moz-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher ameweka wazi sababu inayomfanya aweke wazi picha za mahaba akiwa na mpenzi wake katika mitandao ya kijamii.
Nisher amesema kufanya hivyo kunamweka mbali na wasichana wengine wanaomsumbua.
“Naona ni vyema zaidi kuwa wazi na mkweli, inasaidia kupunguza usumbufu,” ameiambia Bongo5.
“Ndoa inakuja, ila hamna haraka yoyote bado kwa sababu tupo vizuri na mambo mengine taratibu.”
9 years ago
Bongo520 Nov
Nay Wa Mitego aeleza sababu za kwanini hajaitoa collabo yake na Runtown wa Nigeria
![nay true boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nay-true-boy-300x194.jpg)
Kuna kipindi Nay Wa Mitego alitangaza kuwa ana mpango wa kuanza kujitambulisha kwenye soko la kimataifa, kwa kufanya collabo na wasanii wa nje pamoja na kushoot video nje ya Tanzania pia.
Katika mahojiano ya siku za nyuma na Bongo5, Nay alisema tayari amekamilisha collabo na msanii wa Nigeria, Runtown, na alikuwa kwenye mipango ya kutafuta uwezekano wa kufanya kazi na Wizkid an D’Banj.
Wiki hii Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya unaoitwa ‘Nyumbani Kwetu’, hata kama hujausikia sina haja ya...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Tukio la mtoto Nasra liwe funzo kwetu
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wetu kwa kukatisha mfululizo wa maelezo kuhusiana na ujauzito. Nimeamua kufanya hivyo ili kuungana na wenzangu katika kuonyesha hisia zangu kuhusiana na tukio lililojiri hivi...
10 years ago
Bongo510 Jul
Eddy Kenzo aeleza sababu za kwanini BET walimkabidhi tuzo yake kwenye Red Carpert
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*sDEWMHuykbZBk2lZNwAyndl0FlHncga0rS1upkh6roq7Frklh-aAvqyYdxaWly*H3FoeZZ-jmdDyHlhzknYSp/Jack.jpg)
NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!
10 years ago
Bongo512 Sep
Muigizaji wa Nollywood Desmond Elliot ajitosa kugombea ubunge 2015 Nigeria, Wanaija wamponda
10 years ago
Bongo519 Jan
Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s72-c/1.jpg)
AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s640/1.jpg)
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...