Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu

Wakati Waziri wa Mifugo na Uvuvi (wakati ule), Dk John Magufuli alipokamata meli yenye jina la Tawaliq 1 mwaka 2009, ilionekana kama vile tumepiga hatua kubwa katika kulinda rasilimali zetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanesco kuikatia umeme Dawasco iwe funzo

Katika toleo la jana la gazeti hili, tuliandika habari kuhusu hatua ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kulikatia umeme Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kutokana na malimbikizo ya deni Sh7 bilioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tukio la mtoto Nasra liwe funzo kwetu

NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wetu kwa kukatisha mfululizo wa maelezo kuhusiana na ujauzito. Nimeamua kufanya hivyo ili kuungana na wenzangu katika kuonyesha hisia zangu kuhusiana na tukio lililojiri hivi...

 

9 years ago

Bongo5

Muigizaji wa Nollywood aeleza kwanini ndoa yake imevunjika na funzo kwetu sisi

Ini-Edo1

Muigizaji wa Nollywood, Ini Edo ameamua kueleza runinga nchini humo sababu za kuvunjika kwa ndoa yake ya miaka mitano na Phillip Ehiagwina wa Marekani.

Ini-Edo-1

Muigizaji huyo asiyependa mambo yake yaongelewe sana kwenye mitandao na vyombo vya habari, aliweza kuelezea kwa uwazi mambo anayodhani yalisababisha ndoa yake ya miaka mitano kuvunjika.

Ndoa yake ambayo anasema kwa kiasi kikubwa iliathiriwa na umbali kwakuwa mumewe alikuwa Marekani yeye yupo Naijeria hivyo ukiondoa matatizo waliyokuwa nayo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je dunia imepata funzo gani kutokana na mlipuko wa Ebola DRC?

Ni miezi miwili imepita bila kuripotiwa kwa kisa cha Ebola katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

 

11 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya wanawake majuu na ushindi wa Wajerumani ni somo gani kwetu Afrika?

Mstuko usingizini, jijini London. Siyo makombora yanayomwagwa Gaza na Wayahudi kuua watoto na wanawake wa Kipalestina. Hapana. Hizi ni radi za Mwenyezi Mungu. Miti na madirisha yanatingisika na kutetereka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli aamua sikukuu iwe siku ya kazi

Rais wa Tanzania John Magufuli ameamua hakutakuwa na sherehe za kuadhimisha Siku ya Uhuru mwezi ujao na badala yake akasema itumiwe kufanya kazi.

 

10 years ago

Habarileo

Wachina wa 'Samaki wa Magufuli’ waachiwa

BAADA ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

11 years ago

Habarileo

Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ kortini tena

RAIA wawili wa China walioachiwa huru wiki iliyopita katika kesi ya uvuvi haramu, wamepandishwa kizimbani tena wakikabiliwa na mashitaka ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washitakiwa samaki wa Magufuli washinda rufaa

MAHAKAMA ya Rufaa Dar es Salaam, imetengua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na faini ya sh bilioni 22 iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Februari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani