Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu
Wakati Waziri wa Mifugo na Uvuvi (wakati ule), Dk John Magufuli alipokamata meli yenye jina la Tawaliq 1 mwaka 2009, ilionekana kama vile tumepiga hatua kubwa katika kulinda rasilimali zetu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Tanesco kuikatia umeme Dawasco iwe funzo
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Tukio la mtoto Nasra liwe funzo kwetu
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wetu kwa kukatisha mfululizo wa maelezo kuhusiana na ujauzito. Nimeamua kufanya hivyo ili kuungana na wenzangu katika kuonyesha hisia zangu kuhusiana na tukio lililojiri hivi...
9 years ago
Bongo506 Nov
Muigizaji wa Nollywood aeleza kwanini ndoa yake imevunjika na funzo kwetu sisi
![Ini-Edo1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ini-Edo1-300x194.jpg)
Muigizaji wa Nollywood, Ini Edo ameamua kueleza runinga nchini humo sababu za kuvunjika kwa ndoa yake ya miaka mitano na Phillip Ehiagwina wa Marekani.
Muigizaji huyo asiyependa mambo yake yaongelewe sana kwenye mitandao na vyombo vya habari, aliweza kuelezea kwa uwazi mambo anayodhani yalisababisha ndoa yake ya miaka mitano kuvunjika.
Ndoa yake ambayo anasema kwa kiasi kikubwa iliathiriwa na umbali kwakuwa mumewe alikuwa Marekani yeye yupo Naijeria hivyo ukiondoa matatizo waliyokuwa nayo...
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Coronavirus: Je dunia imepata funzo gani kutokana na mlipuko wa Ebola DRC?
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Maendeleo ya wanawake majuu na ushindi wa Wajerumani ni somo gani kwetu Afrika?
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Magufuli aamua sikukuu iwe siku ya kazi
10 years ago
Habarileo23 Aug
Wachina wa 'Samaki wa Magufuli’ waachiwa
BAADA ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
11 years ago
Habarileo01 Apr
Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ kortini tena
RAIA wawili wa China walioachiwa huru wiki iliyopita katika kesi ya uvuvi haramu, wamepandishwa kizimbani tena wakikabiliwa na mashitaka ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali.
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Washitakiwa samaki wa Magufuli washinda rufaa
MAHAKAMA ya Rufaa Dar es Salaam, imetengua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na faini ya sh bilioni 22 iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Februari...