Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ kortini tena

RAIA wawili wa China walioachiwa huru wiki iliyopita katika kesi ya uvuvi haramu, wamepandishwa kizimbani tena wakikabiliwa na mashitaka ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wachina wa 'Samaki wa Magufuli’ waachiwa

BAADA ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

10 years ago

Habarileo

Wachina wa ‘samaki wa magufuli’ wadai meli yao

RAIA wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki kinyume cha sheria, wamewasilisha barua kwa Msajili wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kutaka warudishiwe Meli ya Tawariq 1 na samaki waliopokewa mahakamani kama vielelezo.

 

11 years ago

Michuzi

News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria

Mahakama ya Rufani imewaachia huru wafungwa wawili raia China (pichani)  waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la uvuvi haramu katika katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania (Exclusive Economic Zone- EEZ) Wafungwa hao , Hsu Chin Tai ambaye alikuwa nahodha wa meli ya Tawaliq 1 waliyokamatwa nayo wakifanya uvuvi huo haramu na aliyekuwa wakala wa meli hiyo, pamoja na baharia Zhao Hanquing.   Walitiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Februari 23,...

 

10 years ago

GPL

WEMA KORTINI TENA!

Mkono wa sheria! Achana na drama zake na aliyekuwa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mcheza sinema ‘grade one’ Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anapandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar kujibu kesi ya kushambuliwa vijana wawili, Rashid Balazi na Juma Bushiri, wakazi wa jijini Dar, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. Staa wa filamu Bongo,...

 

9 years ago

GPL

MBASHA ARUDISHWA KORTINI TENA

Brighton Masalu SIKU chache baada ya kushinda kesi ya tuhuma za kubaka iliyokuwa ikimkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, mwimbaji wa muziki wa Injili, Emmanuel Mbasha anatarajiwa kupandishwa tena katika korti hiyohiyo kwa madai mengine, Risasi Mchanganyiko lina habari kamili. Mwimbaji wa muziki wa Injili, Emmanuel Mbasha. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni kwa sharti la kutotajwa jina,...

 

10 years ago

Mtanzania

Wachina wa Magufuli waidai Serikali trilioni 1.3/-

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WACHINA wa ‘samaki wa Magufuli’ walioachiwa huru wanadai meli na samaki zilizokuwamo, ambavyo vyote vina thamani ya Dola za Marekani 3,220,000.

Mbali na kutakiwa kulipa fedha hizo, pia inatakiwa kulipa Sh trilioni 1.3 ikiwa ni gharama zote, ikiwamo meli, samaki, mawakili na mabaharia wake.

Hayo yalisemwa  Dar es Salaam jana na Wakili wa Wachina hao, Kapten Ibrahim Bendera na Wakili John Mapinduzi, walipokuwa wakizungumzia hatima ya madai...

 

10 years ago

Mtanzania

Yona amtaja tena Mkapa kortini

Benjamin Mkapa

Benjamin Mkapa

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, amedai mahakamani kwamba Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, alikuwa akifuatilia hatua kwa hatua na alikubali mchakato wa ukaguzi wa dhahabu ufanyike kwa haraka.

Yona alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alipokuwa akijitetea kwa kuongozwa na wakili wake, Elisa Msuya mbele ya jopo la mahakimu watatu linaloundwa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumanyika na Msajili Saul Kinemela.

Alidai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washitakiwa samaki wa Magufuli washinda rufaa

MAHAKAMA ya Rufaa Dar es Salaam, imetengua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na faini ya sh bilioni 22 iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Februari...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli`

me » News Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` BY HELLEN MWANGO 26th August 2014 Email Print Dk. John Magufuli Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa meli ya uvuvi pamoja na […]

The post Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani