Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ kortini tena
RAIA wawili wa China walioachiwa huru wiki iliyopita katika kesi ya uvuvi haramu, wamepandishwa kizimbani tena wakikabiliwa na mashitaka ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Aug
Wachina wa 'Samaki wa Magufuli’ waachiwa
BAADA ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
10 years ago
Habarileo09 Sep
Wachina wa ‘samaki wa magufuli’ wadai meli yao
RAIA wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki kinyume cha sheria, wamewasilisha barua kwa Msajili wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kutaka warudishiwe Meli ya Tawariq 1 na samaki waliopokewa mahakamani kama vielelezo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s72-c/8.jpg)
News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria
![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s1600/8.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScvPJfqg64Iworr2E0gxVlxjHF-YRGTNFOEYyGtedQrvnNBFFq687fHDghJxUGHoiZAlEVaxIGly58wHtvnlubCW/WEMA.jpg)
WEMA KORTINI TENA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0LngkvZQDblkji3vbGxrHGwL0jab0NRnPblc3Ia1eX7aonwQ-KMcvmp6idibc4mya-GzDz0gsViBJSnOmUhPUOND3/MBASHA.jpg?width=650)
MBASHA ARUDISHWA KORTINI TENA
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Wachina wa Magufuli waidai Serikali trilioni 1.3/-
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WACHINA wa ‘samaki wa Magufuli’ walioachiwa huru wanadai meli na samaki zilizokuwamo, ambavyo vyote vina thamani ya Dola za Marekani 3,220,000.
Mbali na kutakiwa kulipa fedha hizo, pia inatakiwa kulipa Sh trilioni 1.3 ikiwa ni gharama zote, ikiwamo meli, samaki, mawakili na mabaharia wake.
Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Wakili wa Wachina hao, Kapten Ibrahim Bendera na Wakili John Mapinduzi, walipokuwa wakizungumzia hatima ya madai...
10 years ago
Mtanzania11 Sep
Yona amtaja tena Mkapa kortini
![Benjamin Mkapa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Benjamin-Mkapa.jpg)
Benjamin Mkapa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, amedai mahakamani kwamba Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, alikuwa akifuatilia hatua kwa hatua na alikubali mchakato wa ukaguzi wa dhahabu ufanyike kwa haraka.
Yona alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alipokuwa akijitetea kwa kuongozwa na wakili wake, Elisa Msuya mbele ya jopo la mahakimu watatu linaloundwa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumanyika na Msajili Saul Kinemela.
Alidai...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Washitakiwa samaki wa Magufuli washinda rufaa
MAHAKAMA ya Rufaa Dar es Salaam, imetengua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na faini ya sh bilioni 22 iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Februari...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Sep
Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli`
me » News Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` BY HELLEN MWANGO 26th August 2014 Email Print Dk. John Magufuli Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa meli ya uvuvi pamoja na […]
The post Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` appeared first on Mzalendo.net.