Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli`
me » News Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` BY HELLEN MWANGO 26th August 2014 Email Print Dk. John Magufuli Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa meli ya uvuvi pamoja na […]
The post Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Sep
Wachina wa ‘samaki wa magufuli’ wadai meli yao
RAIA wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki kinyume cha sheria, wamewasilisha barua kwa Msajili wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kutaka warudishiwe Meli ya Tawariq 1 na samaki waliopokewa mahakamani kama vielelezo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s72-c/123105.jpg)
SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s640/123105.jpg)
11 years ago
Habarileo01 Apr
Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ kortini tena
RAIA wawili wa China walioachiwa huru wiki iliyopita katika kesi ya uvuvi haramu, wamepandishwa kizimbani tena wakikabiliwa na mashitaka ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali.
10 years ago
Habarileo23 Aug
Wachina wa 'Samaki wa Magufuli’ waachiwa
BAADA ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Washitakiwa samaki wa Magufuli washinda rufaa
MAHAKAMA ya Rufaa Dar es Salaam, imetengua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na faini ya sh bilioni 22 iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Februari...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Serikali kuleta meli ya kisasa Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar ipo mbioni kuleta meli kubwa na ya kisasa itakayokuwa ikisafirisha abiria kutoka Unguja kwenda Pemba ambayo itakuwa na garantii ya usalama. Naibu Katibu Mkuu wa Chama...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Serikali yakamata kontena la samaki wabovu
WIZARA ya Maendeleo ya Mifungo na Uvuvi imekamata katika Bandari ya Dar es Salaam kontena la samaki wabovu aina ya dagaa na migebuka tani 10 lenye thamani ya Sh milioni 100 likiwa mbioni kusafirishwa kwenda Australia.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Meli ya Rais Magufuli yang’oa nanga; tufani, nyangumi wamngojea
MASIKINI Rais, John Magufuli, anachukua uongozi wa nchi katikati ya bahari iliyochafuka kwa tufan
Joseph Mihangwa