Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yakamata kontena la samaki wabovu

WIZARA ya Maendeleo ya Mifungo na Uvuvi imekamata katika Bandari ya Dar es Salaam kontena la samaki wabovu aina ya dagaa na migebuka tani 10 lenye thamani ya Sh milioni 100 likiwa mbioni kusafirishwa kwenda Australia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Polisi yakamata kontena la nyaya za milioni 150/-

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata kontena likiwa na rola 15 za nyaya za umeme mali ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) zenye thamani ya Sh milioni 150.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yafanyia majaribio ya umeme wa Kontena

Na Robert Kakwesi,

Tabora.

 

Katika kuhakikisha vijiji vingi zaidi nchini vinapata umeme, Serikali imeamua kufanya majaribio ya umeme wa kutumia Kontena ambao ni teknolojia mpya kuingia nchini.

 

Umeme huo wa Kontena unafanya vyanzo vya umeme nchini kuzidi kuongezeka na hivyo kuwa na matumaini ya vijiji zaidi kupata umeme na kuwa chanzo kimojawapo cha umeme vingine vikiwa ni Gesi, Makaa ya mawe, maji na upepo.

 

o que fazer viagra para homens

Katika ziara ya kukagua umeme vijijini...

 

9 years ago

GPL

POLISI YAKAMATA BUNDUKI, BANGI, NYARA ZA SERIKALI

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai CP, Diwan Athuman, akitoa taarifa yake. Wanahabari wakichukua matukio. CP Athuman akifanua jambo. Wanahabari wakisikiliza kwa makini kilichokuwa kikiendelea kwenye hafla hiyo. JESHI la polisi nchini kwa kushirikiana na ofisi za polisi wa kimataifa,…

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli`

me » News Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` BY HELLEN MWANGO 26th August 2014 Email Print Dk. John Magufuli Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa meli ya uvuvi pamoja na […]

The post Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUONGEZA IDADI YA NDEGE KUBEBA MINOFU YA SAMAKI



Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo wakati akifungua mkutano wa pili wa kujadili namna ya kurahisisha usafirishaji wa minofu ya samaki kutokea Kiwanja cha Ndege cha Mwanza uliofanyika jijini Dodoma. Kikao hicho kimewakutanisha viongozi wakuu wa Wizara tano kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...

 

11 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO

MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.  Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ amesema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert - Kumbukumbu ya kifo cha Albert Mangwe’.  Kareem amewaomba wadau...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kumbukumbu ya Kifo cha Mangwea Juni 28, Samaki Samaki Morogoro

Albert Mangwair

Mangwea enzi za uhai  wake.

Na Andrew Chale

MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha  marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ ,  litakalofanyika ndani ya ukumbi wa  Nyumbani Park (Samaki  Samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.

Akizungumza na mtando huu , Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo,  Kareeem Omary ‘KO’  alisema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani