Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yafanyia majaribio ya umeme wa Kontena

Na Robert Kakwesi,

Tabora.

 

Katika kuhakikisha vijiji vingi zaidi nchini vinapata umeme, Serikali imeamua kufanya majaribio ya umeme wa kutumia Kontena ambao ni teknolojia mpya kuingia nchini.

 

Umeme huo wa Kontena unafanya vyanzo vya umeme nchini kuzidi kuongezeka na hivyo kuwa na matumaini ya vijiji zaidi kupata umeme na kuwa chanzo kimojawapo cha umeme vingine vikiwa ni Gesi, Makaa ya mawe, maji na upepo.

 

o que fazer viagra para homens

Katika ziara ya kukagua umeme vijijini...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali yafanyia kazi pensheni kwa wazee

SERIKALI imesema kuwa Mpango wa Pensheni kwa Wazee nchini, haujaanza kutekelezwa kutokana na kutokamilika kwa maandalizi.

 

10 years ago

Habarileo

Muhongo akerwa na kutotumika kwa umeme wa kontena

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesikitishwa na mradi wa umeme wa Kontena kwenye kijiji cha Tura wilayani Uyui mkoani Tabora kuacha kufanya kazi baada ya kuwaka siku chache kwa kile kilichoelezwa kuwa kukosa maelewano ya wananchi na viongozi kutotunga sheria.

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha umeme Kinyerezi 1 kuanza majaribio mwakani

KITUO cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Kinyerezi 1, kinatarajia kuanza kuzalisha umeme wa majaribio mwanzoni mwa mwakani, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa bomba la gesi linalotoa gesi hiyo Mtwara hadi Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakamata kontena la samaki wabovu

WIZARA ya Maendeleo ya Mifungo na Uvuvi imekamata katika Bandari ya Dar es Salaam kontena la samaki wabovu aina ya dagaa na migebuka tani 10 lenye thamani ya Sh milioni 100 likiwa mbioni kusafirishwa kwenda Australia.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaongeza mitambo ya kuzalisha umeme

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneKUTOKANA na kukua kwa kasi ya mahitaji ya umeme, Serikali imeamua kuongeza mitambo mingine ya kuzalisha umeme kwa kiasi cha megawati 185 katika Mradi wa Kinyerezi I uliopo jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kushusha bei ya umeme Oktoba

Serikali imesema bei ya umeme nchini inatarajiwa kushuka kwa kiwango kikubwa baada ya kuanza uzalishaji wa nishati hiyo kwa kutumia gesi asilia kutoka Mtwara hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yavuka lengo usambazaji umeme

Profesa Sospeter MuhongoSERIKALI imekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 yamefikiwa na kupitwa hata kabla ya kumalizika kipindi cha miaka mitano.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini

Serikali imetangaza kupunguza gharama za kuunganisha umeme kutoka Sh177,000 za awali hadi Sh27,000 vijijini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani