Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yafanyia kazi pensheni kwa wazee

SERIKALI imesema kuwa Mpango wa Pensheni kwa Wazee nchini, haujaanza kutekelezwa kutokana na kutokamilika kwa maandalizi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wazee Moro waipongeza serikali kwa pensheni

ASASI isiyokuwa ya Kiserikali ya wazee wa mkoa wa Morogoro (MOROPEO) inayojishughulisha na uboreshaji wa masuala ya wazee kimkoa, imeipongeza serikali kwa kusikiliza kilio chao cha muda mrefu baada ya kuanza kuwalipa pensheni.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yabanwa pensheni ya wazee

Serikali imebanwa bungeni na kutakiwa kutoa majibu ya lini itaanzisha Mfuko wa Pensheni ya Wazee ili nao waboreshe maisha yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pensheni kwa wazee kitendawili

SERIKALI imeeleza kuwa ili iweze kuwalipa pensheni wazee wote nchini, ni lazima iwe na bajeti isiyopungua sh bilioni 600 kwa mwaka. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Habarileo

Ulipaji pensheni kwa wazee kupitiwa upya

SERIKALI imesema itaupitia mchakato ambao utatoa nafasi kwa wazee kuanza kulipwa pensheni ya kila mwezi baada ya kutoa mchango wao mkubwa wa utumishi kazini.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yafanyia majaribio ya umeme wa Kontena

Na Robert Kakwesi,

Tabora.

 

Katika kuhakikisha vijiji vingi zaidi nchini vinapata umeme, Serikali imeamua kufanya majaribio ya umeme wa kutumia Kontena ambao ni teknolojia mpya kuingia nchini.

 

Umeme huo wa Kontena unafanya vyanzo vya umeme nchini kuzidi kuongezeka na hivyo kuwa na matumaini ya vijiji zaidi kupata umeme na kuwa chanzo kimojawapo cha umeme vingine vikiwa ni Gesi, Makaa ya mawe, maji na upepo.

 

o que fazer viagra para homens

Katika ziara ya kukagua umeme vijijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbasa atetea pensheni ya wazee

MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana pasipo kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Wazee miaka 70 kuanza kulipwa pensheni

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuanzia mwaka wa fedha wa 2015/16, itaanza kulipa pensheni kwa wazee wenye umri wa miaka 70 kwa lengo la kuwawezesha kujikimu kimaisha.

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

10 years ago

Dewji Blog

CWT Singida yapinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu

jumbe

Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida Aran Jumbe, akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za chama hicho kuhusiana na tamko la chama juu ya kupinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

Chama cha Walimu CWT  kimetoa tamko la kupinga  rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani