Wazee Moro waipongeza serikali kwa pensheni
ASASI isiyokuwa ya Kiserikali ya wazee wa mkoa wa Morogoro (MOROPEO) inayojishughulisha na uboreshaji wa masuala ya wazee kimkoa, imeipongeza serikali kwa kusikiliza kilio chao cha muda mrefu baada ya kuanza kuwalipa pensheni.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
11 years ago
Habarileo07 Jun
Serikali yafanyia kazi pensheni kwa wazee
SERIKALI imesema kuwa Mpango wa Pensheni kwa Wazee nchini, haujaanza kutekelezwa kutokana na kutokamilika kwa maandalizi.
11 years ago
Mwananchi25 May
Serikali yabanwa pensheni ya wazee
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Pensheni kwa wazee kitendawili
SERIKALI imeeleza kuwa ili iweze kuwalipa pensheni wazee wote nchini, ni lazima iwe na bajeti isiyopungua sh bilioni 600 kwa mwaka. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa...
10 years ago
Habarileo26 Feb
Ulipaji pensheni kwa wazee kupitiwa upya
SERIKALI imesema itaupitia mchakato ambao utatoa nafasi kwa wazee kuanza kulipwa pensheni ya kila mwezi baada ya kutoa mchango wao mkubwa wa utumishi kazini.
9 years ago
Habarileo07 Oct
Moro yawakumbuka wazee 3,500 kwa tiba
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imetoa vitambulisho kwa wazee 3,544 kwa ajili ya kupata huduma za Tiba kwa Kadi (TIKA) katika zahanati , vituo vya afya na hospitali zake mkoani humo.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Mbasa atetea pensheni ya wazee
MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana pasipo kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo...
5 years ago
MichuziFORUMCC WAIPONGEZA SERIKALI KWA JITIHADA ZAKE ZA UJENZI WA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME UNAOTOKANA NA JOTO ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-lA6YwFEPjJQ/XvLngUGiOFI/AAAAAAALvIY/bmbuu9N7EhsbovmJky9r2GbW5PHZhSHiQCLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
Mratibu wa Miradi wa Shirika la ForumCC Henry Kazula(kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa shirika hilo Rebecca Muna wakisikiliza maswali ya...
10 years ago
Habarileo06 Jun
Wazee miaka 70 kuanza kulipwa pensheni
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuanzia mwaka wa fedha wa 2015/16, itaanza kulipa pensheni kwa wazee wenye umri wa miaka 70 kwa lengo la kuwawezesha kujikimu kimaisha.