Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee Moro waipongeza serikali kwa pensheni

ASASI isiyokuwa ya Kiserikali ya wazee wa mkoa wa Morogoro (MOROPEO) inayojishughulisha na uboreshaji wa masuala ya wazee kimkoa, imeipongeza serikali kwa kusikiliza kilio chao cha muda mrefu baada ya kuanza kuwalipa pensheni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yafanyia kazi pensheni kwa wazee

SERIKALI imesema kuwa Mpango wa Pensheni kwa Wazee nchini, haujaanza kutekelezwa kutokana na kutokamilika kwa maandalizi.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yabanwa pensheni ya wazee

Serikali imebanwa bungeni na kutakiwa kutoa majibu ya lini itaanzisha Mfuko wa Pensheni ya Wazee ili nao waboreshe maisha yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pensheni kwa wazee kitendawili

SERIKALI imeeleza kuwa ili iweze kuwalipa pensheni wazee wote nchini, ni lazima iwe na bajeti isiyopungua sh bilioni 600 kwa mwaka. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Habarileo

Ulipaji pensheni kwa wazee kupitiwa upya

SERIKALI imesema itaupitia mchakato ambao utatoa nafasi kwa wazee kuanza kulipwa pensheni ya kila mwezi baada ya kutoa mchango wao mkubwa wa utumishi kazini.

 

9 years ago

Habarileo

Moro yawakumbuka wazee 3,500 kwa tiba

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imetoa vitambulisho kwa wazee 3,544 kwa ajili ya kupata huduma za Tiba kwa Kadi (TIKA) katika zahanati , vituo vya afya na hospitali zake mkoani humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbasa atetea pensheni ya wazee

MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana pasipo kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

FORUMCC WAIPONGEZA SERIKALI KWA JITIHADA ZAKE ZA UJENZI WA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME UNAOTOKANA NA JOTO ARDHI

Mkurugenzi wa Shirika la FORUMCC Rebecca Muna(kulia) akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari kuhusu maoni yao katika bajeti ya fedha ya mwaka 20/21 ya Wizara ya Nishati ambayo imezingatia umuhimu wa kuendeleza na kuimarisha matumizi ya nishati ya umeme itokanayo na jotoardhi. Kushoto ni Mratibu wa Miradi wa ForumCC Henry  Kazula.


Mratibu wa Miradi wa Shirika la ForumCC Henry  Kazula(kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa shirika hilo Rebecca Muna wakisikiliza maswali ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wazee miaka 70 kuanza kulipwa pensheni

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuanzia mwaka wa fedha wa 2015/16, itaanza kulipa pensheni kwa wazee wenye umri wa miaka 70 kwa lengo la kuwawezesha kujikimu kimaisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani