Muhongo akerwa na kutotumika kwa umeme wa kontena
WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesikitishwa na mradi wa umeme wa Kontena kwenye kijiji cha Tura wilayani Uyui mkoani Tabora kuacha kufanya kazi baada ya kuwaka siku chache kwa kile kilichoelezwa kuwa kukosa maelewano ya wananchi na viongozi kutotunga sheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Jan
Serikali yafanyia majaribio ya umeme wa Kontena
Na Robert Kakwesi,
Tabora.
Katika kuhakikisha vijiji vingi zaidi nchini vinapata umeme, Serikali imeamua kufanya majaribio ya umeme wa kutumia Kontena ambao ni teknolojia mpya kuingia nchini.
Umeme huo wa Kontena unafanya vyanzo vya umeme nchini kuzidi kuongezeka na hivyo kuwa na matumaini ya vijiji zaidi kupata umeme na kuwa chanzo kimojawapo cha umeme vingine vikiwa ni Gesi, Makaa ya mawe, maji na upepo.
o que fazer viagra para homens
Katika ziara ya kukagua umeme vijijini...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Waziri Muhongo akerwa na mhandisi wa maji
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Kupanda kwa umeme, Mnyika azidi kumng’ang’ania Profesa Muhongo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EUDvqIPqk0/VLA5EENpUWI/AAAAAAAG8Vw/O6DCoOihWWY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SpqID-27gnA/VLA5EUBwhVI/AAAAAAAG8Vo/az4eL8wG2wk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Habarileo23 Jul
Hakutakuwa na mgao wa umeme - Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema hakutakuwa na mgawo wa umeme nchini na bei ya umeme itapungua.
9 years ago
Habarileo28 Dec
Muhongo achoshwa umeme wa bei juu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Ziwa kuhakikisha wanauingiza mkoa wa Kagera katika Gridi ya Taifa baada ya kubainika nchi inaingia gharama kubwa kununua umeme kutoka Uganda.
9 years ago
Mtanzania21 Dec
TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo
NA FLORENCE SANAWA, MTWARA
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.
Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.
“TANESCO wamekuwa...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Muhongo: Tatizo la umeme ni uchakavu wa mitambo
10 years ago
Habarileo30 Dec
Miradi ya umeme ikamilike haraka - Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka wakandarasi wanaojenga miradi ya umeme, kuikamilisha haraka kabla ya Aprili 2015.