Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kushusha bei ya umeme Oktoba

Serikali imesema bei ya umeme nchini inatarajiwa kushuka kwa kiwango kikubwa baada ya kuanza uzalishaji wa nishati hiyo kwa kutumia gesi asilia kutoka Mtwara hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

IPTL yasisitiza kushusha bei ya umeme

KAMPUNI ya ufuaji umeme ya IPTL, imesema dhamira yake ya kushusha bei ya umeme kwa Watanzania ipo palepale. Katibu na mshauri wa masuala ya sheria wa kampuni hiyo, Joseph Makandege,...

 

9 years ago

Habarileo

Profesa Muhongo aahidi kushusha bei ya umeme

WAKATI wapinzani wakipinga uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, waziri huyo amewasihi wananchi kumvumilia kidogo, ili baada ya muda mfupi atoe mpango wa maendeleo ya wizara hiyo, ambao pamoja na mambo mengine, utaelezea bei ya nishati hiyo itakavyoshuka. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kuapishwa kushika wadhifa huo jana Ikulu jijini Dar es Salaam, Profesa Muhongo alisema mbali na mkakati wa kushusha bei ya umeme, kasi ya kusambaza umeme...

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YATAKIWA KUSHUSHA BEI YA NAULI YA MABASI

Naibu Katibu Idara ya Barabara ya CHAKUA, Gervas Rutaguzinda, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mwenyekiti wa CHAKUA, Hassan Mchanjama, akionyesha baadhi ya nyaraka walizowahi kuwaandikia SUMATRA.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Bei ya umeme chini zaidi Tanzania — Serikali

unnamed (49)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akielekea eneo la jukwaa mara baada ya kuwasili katika eneo palipofanyika uzinduzi wa mradi wa kusambaza umeme vijijini unaosimamiwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA) wilaya ya Nyasa. Kulia kwake ni Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo na kushoto kwake ni Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli.

unnamed (50)

Rais Jakaya M. Kikwete akichukua mkasi kwa ajili ya kukata utepe tayari kuelekea katika eneo la uzinduzi wa mradi wa usambazaji wa umeme wilayani Nyasa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU

Na mwandshi wetu, KigomaSHIRIKA la umeme Tanesco kupitia idara ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma juu ya kuchangakia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii  imewafikia wanakijiji wa  vijiji vya Kigoma  ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...

 

10 years ago

Habarileo

‘Tanesco haiwezi kushusha bei kwa sasa’

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles MwijageKUSHUKA kwa bei ya mafuta katika soko la dunia hakujawapa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unafuu wa kuwafanya washushe bei ya umeme.

 

9 years ago

MillardAyo

Wafungwa wailemea Serikali, Mauaji ya mlinzi TANAPA, Bei ya umeme kushuka, Hali ya joto…#MAGAZETNI

HABARILEO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini. Kairuki alisema hayo jana alipoitembelea idara hiyo, […]

The post Wafungwa wailemea Serikali, Mauaji ya mlinzi TANAPA, Bei ya umeme kushuka, Hali ya joto…#MAGAZETNI appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AFUNGA KAZI MKOANI MTWARA,AHIDI KUSHUSHA BEI YA VIFAA VYA UJENZI

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli,akiwahutubia wananchi wa mji wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa kampeni unaoendelea jioni hii katika uwanja wa Mashujaa. 
Dkt John Magufuli amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu mwaka huu ,Serikali yake itashusha bei ya vifaa vya ujenzi hasa bati na saruji,amesema kuwa serikali yake inataka kurahisisha maisha ya watanzania wote na hivyo...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kushusha neema shule za Kata

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema imejipanga kuongeza uwekezaji katika Shule za Sekondari za Kata nchini ili kuongeza kiwango cha ufaulu ambapo pia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa katika sekta ya elimu umesaidia kuinua kiwango cha ufaulu kidato cha nne ambacho kilitetereka kwa miaka mitatu mfululizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani