Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bei ya umeme chini zaidi Tanzania — Serikali

unnamed (49)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akielekea eneo la jukwaa mara baada ya kuwasili katika eneo palipofanyika uzinduzi wa mradi wa kusambaza umeme vijijini unaosimamiwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA) wilaya ya Nyasa. Kulia kwake ni Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo na kushoto kwake ni Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli.

unnamed (50)

Rais Jakaya M. Kikwete akichukua mkasi kwa ajili ya kukata utepe tayari kuelekea katika eneo la uzinduzi wa mradi wa usambazaji wa umeme wilayani Nyasa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Muhongo: Bei ya umeme Tanzania ni ya chini zaidi

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ndiyo nchi pekee miongoni mwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ambayo bei ya umeme ni ya chini zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Umeme kushuka bei zaidi Juni

Bei ya umeme inatarajiwa kushuka zaidi kuanzia Juni mwaka huu kutokana na kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Bei za umeme kushuka zaidi Julai

>Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kushusha bei ya umeme Oktoba

Serikali imesema bei ya umeme nchini inatarajiwa kushuka kwa kiwango kikubwa baada ya kuanza uzalishaji wa nishati hiyo kwa kutumia gesi asilia kutoka Mtwara hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU

Na mwandshi wetu, KigomaSHIRIKA la umeme Tanesco kupitia idara ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma juu ya kuchangakia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii  imewafikia wanakijiji wa  vijiji vya Kigoma  ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...

 

9 years ago

MillardAyo

Wafungwa wailemea Serikali, Mauaji ya mlinzi TANAPA, Bei ya umeme kushuka, Hali ya joto…#MAGAZETNI

HABARILEO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini. Kairuki alisema hayo jana alipoitembelea idara hiyo, […]

The post Wafungwa wailemea Serikali, Mauaji ya mlinzi TANAPA, Bei ya umeme kushuka, Hali ya joto…#MAGAZETNI appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Soka ya Tanzania iko chini zaidi Afrika mashariki

Licha ya kupanda nafasi nne hadi nambari 136,Tanzania imeorodheshwa ya chini zaidi na shirikisho la soka duniani FIFA katika soka Afrika mashariki.

 

11 years ago

Michuzi

TOTAL YAZINDUA AWANGO KUMALIZA TATIZO LA UPATIKANAJI WA UMEME KWA WATU WA KIPATO CHA CHINI TANZANIA

Mgeni rasmi, Waziri wa Nishati na Madini, Mh. Prof. Sospeter Muhongo akihutubia wageni waalikwa (hawapo pichani) waliohudhuria katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa za AWANGO uliofanyika ndani ya hoteli ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam, usiku wa jana. Waziri Muhongo aliwapongeza TOTAL kwa juhudi wanazozifanya kusaidia jamii ya Watanzania kupata chanzo cha nishati kitakachowaletea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Pembeni ni baadhi ya bidhaa hizo zinazotumia nishati ya jua. Waziri wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei ya Mafuta yashuka zaidi Tanzania

Mamlaka ya udhibiti wa Nishati ,Maji na mafuta EWURA nchini Tanzania imetangaza punguzo la jingine la mafuta nchini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani